msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,763
- 3,203
Ilikuwa kabla Ethiopian Airline haijawa bomba la gesi la kupitisha korosho tunazonunua kwa fedha zetu...Bibi achaga basi uchochezi baba Asprin anakusubiria umwandalie chai.
Hebu kawajibike unakua kama vile haujawahi kufanya kazi za uea hosteji.
Maendeleo hayana chama
shida ni kwamba hata hiyo kiswahili nayo ni shida kama intaprenyuuuu[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji23] [emoji23] nadhani kirundi ndio fasaha kwakeSijui shida ni nini tu? Maana Kiswahili ni lugha nzuri tu yenye hadhi na viwango stahiki vya lugha bora.
Magufuli haishi kuchomekea vimaneno vyake vya broken English ; hata kwenye mkutano wa wakuu wa jumuiya ya Afrika mashariki alinishangaza kwa kuingiza vijimaneno vyake vibovu vya kiingereza!
Lugha ya Kiswahili ikizungumzwa kwa ufasaha unaotakiwa ni lugha nzuri mno na ya heshima! Nilitegemea kwenye mkutano ule akiwakilishe Kiswahili kwa mbwembwe na madaha yote ya kisarufi lakini akaishia kukoroga tu mara achomekee vimisamiati vyake vya hovyo! Vimisamiati vyenyewe broken! Hata tenses tu hawezi!
Yule mwanamama wa kirusi alipokuja ikulu, Rais akawaponda wanaoongea kiingereza, eti 'wanajifanya'! Ebo!!? Juzi katutia aibu, badala ya kusema "air hostesses" kasema air 'hostages'!
Ningemshauri Rais aongee Kiswahili, tena Kiswahili sanifu!!
Kiingereza chake hafifu sana, hawezi kabisa sarufi! Tutaepuka "intaprentinyuwa" , "fenti fodi" na matakataka mengine ya dizaini hiyo!
pipo yuzi tu dai ini dhe dhe reki[emoji12] [emoji12] [emoji12]Sijui shida ni nini tu? Maana Kiswahili ni lugha nzuri tu yenye hadhi na viwango stahiki vya lugha bora.
Magufuli haishi kuchomekea vimaneno vyake vya broken English ; hata kwenye mkutano wa wakuu wa jumuiya ya Afrika mashariki alinishangaza kwa kuingiza vijimaneno vyake vibovu vya kiingereza!
Lugha ya Kiswahili ikizungumzwa kwa ufasaha unaotakiwa ni lugha nzuri mno na ya heshima! Nilitegemea kwenye mkutano ule akiwakilishe Kiswahili kwa mbwembwe na madaha yote ya kisarufi lakini akaishia kukoroga tu mara achomekee vimisamiati vyake vya hovyo! Vimisamiati vyenyewe broken! Hata tenses tu hawezi!
Yule mwanamama wa kirusi alipokuja ikulu, Rais akawaponda wanaoongea kiingereza, eti 'wanajifanya'! Ebo!!? Juzi katutia aibu, badala ya kusema "air hostesses" kasema air 'hostages'!
Ningemshauri Rais aongee Kiswahili, tena Kiswahili sanifu!!
Kiingereza chake hafifu sana, hawezi kabisa sarufi! Tutaepuka "intaprentinyuwa" , "fenti fodi" na matakataka mengine ya dizaini hiyo!
pipo yuz tu dai in dhe dhe dhe reki[emoji196] [emoji218] [emoji216] [emoji16] [emoji23] [emoji23]Acha upumbavu, raisi kukosea neno moja katika 1000 , ndio uanzishe Uzi, yaani chadema mmekosa hoja, kila kitu mnadandia , badala mjadili kuhusu mustakabali wa kupoteza jimbo la Arumeru kijinga, unaanzisha Uzi kumkebehi raisi,
Pumbaff
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Ngoja wapambe wake wakuu lemutuz na musiba wakusikieSijui shida ni nini tu? Maana Kiswahili ni lugha nzuri tu yenye hadhi na viwango stahiki vya lugha bora.
Magufuli haishi kuchomekea vimaneno vyake vya broken English ; hata kwenye mkutano wa wakuu wa jumuiya ya Afrika mashariki alinishangaza kwa kuingiza vijimaneno vyake vibovu vya kiingereza!
Lugha ya Kiswahili ikizungumzwa kwa ufasaha unaotakiwa ni lugha nzuri mno na ya heshima! Nilitegemea kwenye mkutano ule akiwakilishe Kiswahili kwa mbwembwe na madaha yote ya kisarufi lakini akaishia kukoroga tu mara achomekee vimisamiati vyake vya hovyo! Vimisamiati vyenyewe broken! Hata tenses tu hawezi!
Yule mwanamama wa kirusi alipokuja ikulu, Rais akawaponda wanaoongea kiingereza, eti 'wanajifanya'! Ebo!!? Juzi katutia aibu, badala ya kusema "air hostesses" kasema air 'hostages'!
Ningemshauri Rais aongee Kiswahili, tena Kiswahili sanifu!!
Kiingereza chake hafifu sana, hawezi kabisa sarufi! Tutaepuka "intaprentinyuwa" , "fenti fodi" na matakataka mengine ya dizaini hiyo!
Yelewiiii!Tukiunganisha phont phage, air hostages, interpretenuaa etc tunaweza kuwa na kamusi yetu made in Tanzania
ipi hiyoUkweli ni kwamba :Hizo lugha mbili, kiswahili na kiingereza,zinampiga chenga sana. Kwa ufupi anamangamanga nazo. Ifikie sehemu aruhusiwe kuongea lugha yake ya asili tu tutafsiriwe.
Maninaaaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
anajua luga nyingi sanaManinaaaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Afundishwe lugha!Huyu anko bwana! Kiswahili shida, kiingereza ndo usiseme, sijui tumsaidiaje sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaahaaaTukiunganisha phont phage, air hostages, interpretenuaa etc tunaweza kuwa na kamusi yetu made in Tanzania