Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,359
- 4,215
Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.
Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.
Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?
Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.
Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
Naunga mkono na miguu hoja ya Recreational centers.
Hali ya maisha ya watu wa Dar inaziitaji sana hizo kusaidia kupambana na Tatizo la maradhi ya akili/fahamu.
Maajabu ni kwamba wanatumia Bar Kama mbadala wake.