Kwanini mabibi harusi wengi wanapenda kulia siku ya ndoa?

Kwanini mabibi harusi wengi wanapenda kulia siku ya ndoa?

Na ndio maana nikakuuliza coz nimehisi origin yake, japo hata mimi sijui lina maana gani..!

Nandera ni jina la mama mmoja kichaa pale mwanga mjini anaombaga shilingi kwa watu
 
Hata klynn alilia hakuamini kuacha familia kwenda kuishi na mengi
 
Anakua Emotion Zaidi
Anawaacha wazaz na kuanza maisha mapya na anaempenda
 
Na ndio maana nikakuuliza coz nimehisi origin yake, japo hata mimi sijui lina maana gani..!

nimejua kwa nini umeuliza. wewe ni mpare. Hiyo Eli.... ni ushahidi kwa asilimia 80
 
Kile ni kilio cha furaha, maana anauhakika sasa wa kulala uchi kila siku na mume wake, siyo kama zamani ambapo alikuwa analala uchi mara mojamoja tena kwa kuibaiba!

we ndio umesema kweli
 
Wengi wanalia kwa kuwa mzuka umepanda
Anakuwa na hamu kubwa
Wanapoongea hisia zinaxidi kuwa Kali haswa
Anajikutaachozi yanamtoka
Naatakuwa ame wet kinoma.
 
Wanaolia ni wale ambao wanajua wame zao wana madushelele makubwa so wanawaza tabu watazopata kwa maisha mapya
 
Sikuzote tufahamu ya kwamba ni furaha kubwa kwenye ufalme wa giza mtu anapooa au kuolewa kinyume cha mapenzi ya Mungu. Hii ni kwa sababu Shetani anajua akifanikiwa kukushawishi ukaoa kinyume na mapenzi ya Mungu, ameharibu ‘future’ yako na kile ambacho Mungu alikusudia ukifanye hapa duniani. Kumbuka suala sio kuoa au kuolewa tu, bali ni kuingia kwenye ndoa ambayo itakuwezesha kulitumikia shauri la Bwana katika kizazi chako. Hivyo kabla hujaamua nani uishi naye hakikisha unamshirikisha Mungu akuongoze kumpata mwenzi sahihi.
 
Back
Top Bottom