Kwanini mabibi harusi wengi wanapenda kulia siku ya ndoa?

Kwanini mabibi harusi wengi wanapenda kulia siku ya ndoa?

nitaliaa na nitazimia
nitakaposikiah nimeunganishwa na jina lakoo....
 
Kile ni kilio cha furaha, maana anauhakika sasa wa kulala uchi kila siku na mume wake, siyo kama zamani ambapo alikuwa analala uchi mara mojamoja tena kwa kuibaiba!
Hahaha umepinda mkuu, kama mizengo vile
 
😇😇😇😇😇😇😇😯😯😯
 
Km naolewa na mjesh au mkurya unatacka ncheke nn
 
Kulia kunatokana na kwamba..binti amelelewa tangu udogoni na familia yk..na ameizoea..kile kitendo cha kuondoka nyumbani ni cha huzuni..sababu anaenda anza maisha mapya na mtu ambaye mmejuana ukubwani....

je na wale wanaolia sku ya harus huku wakiwa wameishi tayar na wapenz wao mpaka wamezaa na watoto
 
women are emotional,ndio nature ya wanawake...kitendo cha kulia hawezi mtu akajua sababu,ila wengi tunafikiri ni kwamba anawaacha wazazi wake na kuwa mwenywe na mme wake...upendo wa wazazi kitu kngne jamani,mh,mtu kakupenda toka utotoni,huyu mwngne ukubwani tuu mh...ila kila mtu anasababu yake ya kulia
 
mmmmhhh haya wakuu mie ngoja cku ya ndoa yangu ikifika ndajua kwa nn nalia thn ndakupa jibu
 
Habari zenu ndugu, jamaa na marafiki, leo nimepata majibu ya swali niliokuwa najiuliza kwa miaka kadhaa sasa kwamba kwanini baadhi ya mabinti hasa wa miaka kadhaa hivi ya nyuma walikuwa wanalia siku zao za harusi?

Sasa leo kwenye kituo kimoja cha redio cha hapa nchini kilikuwa na mada hii, na mmoja wa wachangiaji akasema kwamba eti moja ya sababu ya mabinti hao kulia ni kuwa kuwaacha ndugu zake aliowazoea

Na hii ilisababishwa na mabinti hao kuolewa na wanaume ambao hawajawahi kukutana nao kimwili au hata kuwa nao karibu, sasa kule kulia ni njia ya kupambana na mawazo mengi yanayomzunguka kwamba anakwenda kuanzisha uhusiano na mtu asiyemzoea

Sasa swali je ni kweli????

Uko sawa yaani ndoa ni kitu cha kutisha sana unakuta umeolewa mwanaume kila ck anataka tendo la ndoa
 
Back
Top Bottom