Kwanini mabibi harusi wengi wanapenda kulia siku ya ndoa?

Kwanini mabibi harusi wengi wanapenda kulia siku ya ndoa?

Vilio vya kweli vilikua zaman sio kipindi hiki watu washajuana na kuish kinyumba miaka kibao halafu siku ya harus analia ni usani tu hakuna lolote hapo.

Zaman mabinti walikua wanalia kutokana na mengi kwanza furaha na pia kuachana na ndugu zake isitoshe wengine walikua wanaolewa na kwenda kukaa mbali mana mtu anatoka mji fulan kwenda kuona mji mwingine.

Kingine kilichokua kinawaliza ni kufikiria kwenda kufanya tendo la ndoa kwa mara ya kwanza (asilimia kubwa walikua bado b.k.r) sio vizaz vya sasa washajua size zote za mgegedo.
 
Mbona wengine unavomgegeda analia anasema usiniache na unioe, wengi ckuhizi wanakuwa hawaamini kama wataolewa.machozi ya furaha kuona Kweli mambo yametimia. Wengine usanii tu..sio wote wanaoolewa ,kuolewa bahati wengine wanaishia single mother.
 
Wanaliaga kwa furaha kwa sababu hawaamini kama wameolewa coz siku hizi waoji wachache mno.
 
1. Furaha
2. Kuacha familia, sio siri nikiwatazama wadogo na kaka zangu na ndugu niliokuwa naishi nao nyumbani, utani, ucheshi, furaha aisee lazima nilie, kaka zangu huwa wanatabia ya kunibeba juu mara kwa mara hafu wananizungusha aisee lazima nilie, huwa tunafungua muziki na kucheza pale sebuleni huku mama akituona anacheka sana aisee lazima nilie, kaka zangu wana vituko hadi raha aisee lazima nilie. Kubwa zaidi mimi ndio pekee binti nyumbani wengine wote madume aisee lazima nilie, nikimcheki mama lazima nilie. Sorry kwa maneno mengi lakini umenifanya nilie hata kabla sijafikia kuolewa, oh shit! lakini lazima niolewe.
 
1. Furaha
2. Kuacha familia, sio siri nikiwatazama wadogo na kaka zangu na ndugu niliokuwa naishi nao nyumbani, utani, ucheshi, furaha aisee lazima nilie, kaka zangu huwa wanatabia ya kunibeba juu mara kwa mara hafu wananizungusha aisee lazima nilie, huwa tunafungua muziki na kucheza pale sebuleni huku mama akituona anacheka sana aisee lazima nilie, kaka zangu wana vituko hadi raha aisee lazima nilie. Kubwa zaidi mimi ndio pekee binti nyumbani wengine wote madume aisee lazima nilie, nikimcheki mama lazima nilie. Sorry kwa maneno mengi lakini umenifanya nilie hata kabla sijafikia kuolewa, oh shit! lakini lazima niolewe.


Nimependa ulivyoandika. Una umri gani? (najua wadada hampendi hili swali)
 
hiyo kulia kwa kuwa anaachana na ndugu zake aliowazoea nadhani ilikuwa zamani..huyo anaelia kwa sababu hiyo siku hizi atakuwa analia kwa mazoea au unafki tu..ila kama analia kwa furaha hapo sawa...mtt wa kike utakuta kaanza kujitegemea toka kitambo tu zen afta kapo of yiaz anakuja kuolewa.. nae anaangua kilio..huyu nae analia kwa kutengena na ndugu zake???...
 
Vilio vya kweli vilikua zaman sio kipindi hiki watu washajuana na kuish kinyumba miaka kibao halafu siku ya harus analia ni usani tu hakuna lolote hapo.

Zaman mabinti walikua wanalia kutokana na mengi kwanza furaha na pia kuachana na ndugu zake isitoshe wengine walikua wanaolewa na kwenda kukaa mbali mana mtu anatoka mji fulan kwenda kuona mji mwingine.

Kingine kilichokua kinawaliza ni kufikiria kwenda kufanya tendo la ndoa kwa mara ya kwanza (asilimia kubwa walikua bado b.k.r) sio vizaz vya sasa washajua size zote za mgegedo.

Hapa umemaliza kbs mkuu
 
Kile ni kilio cha furaha, maana anauhakika sasa wa kulala uchi kila siku na mume wake, siyo kama zamani ambapo alikuwa analala uchi mara mojamoja tena kwa kuibaiba!

Haha haha Jf mwsho wa matatizo
 
ntawaambia why i cried.toka nizaliwe sikuwahi kulala nyumba isio ya ndugu wa kuammoja wa familia isio ndugu.nahata ndugu ilibidi iwe mkoani au labda nilale hoteli peke angu nikiwa nasafiri.
mara ya kwanzakulala na stranger na kuishi nae alikua mumewangu
nilipotambulishwa kwao ndugu aliozaliwa nae walinipenda sana mpaka sasa wananipenda ila ndugu wa nje hawakunifurahia wengi ni wanawake walioshindwa shule na wanaume waliooa wanawake ambao hawakusoma.mume wangu aliniambia ukweli huo.hivyo kuanzia nimetambulishwa wakwe walianzakuniita kufanya maamuzi na ushauri wa kisomi.ilipofika siku ya ndoa wifi angu kabisa alikuja na wifi wa mama mdogo kunipeleka saluni .guys kilichojiri kilinifanya kulia nilipoagwa na familia yangu.kwakweli kila mtu anakisa chake
 
Back
Top Bottom