Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

What a tragedy. ..kitibo cha uhandisi miaka ile kilikuwa na watu wasiojitambua. Walikuwa hawajui kwamba wote tunategemeana katika kupeleka mbele gurudumu la maendeleo. RIP Levina.....
 
Na kuna shule zilikuwa zinasikika kuwa mwanafunzi wa kike akifika anakuwa ameshachaguliwa na mwanamme, hakuna kusema hapana maana mateso yake hayavumiliki, mojawapo ilikuwa Mkwawa High School

Sidhani kama hilo ni kweli. ...sisi tulioijua Mkwawa tuna hadithi tofauti
 
Dah hapana aisee, inauma sana hii story, hao wahusika jamani duh sijui wanajiskiaje
 
Dah hakika stori ya Levina imenisikitisha hivi hao waliotajwa ndio wahusika wanajiskiaje ?? Natumaini nao sasa hivi watakua na watoto wa kike na kama ilivyo kawaida ya Karma watavuna tu walichopanda
 
Katika visa nilivyokua nikivisikia ni hivi kilininyima raha ya chuo kikuu kabisa ,nilisoma chuo kwa shida japo hayo mambo hayakuepo,niliogopa wanaume wote chuoni,sikuweza kuamini hata mmoja.
 
nikiwa field yangu august 2015 mzee mmoja alinisimulia hii hadithi ya LEVINA (RIP)na habari za mzee PUNCH..zinasisimua...mzee yule alisimulia jinsi Punch walivyosababisha wanafunzi wa UDSM wakafukuzwa chuo mwaka mzima kisa punch kumdhalilisha Rais Mwinyi..
 
Inasikitisha sana,hata sijui angekuwa dada yangu au ndg yangu wa karibu ningehisije? Lakini nisingemuacha hai Omary Saloti!!! si ndio law of the Jungle,mambo mengine tuombe tu yasitutokee.
mkuu umenena ningemuua mchana peupe.na kila mtu angeona na kushuhudia
 
nikiwa field yangu august 2015 mzee mmoja alinisimulia hii hadithi ya LEVINA (RIP)na habari za mzee PUNCH..zinasisimua...mzee yule alisimulia jinsi Punch walivyosababisha wanafunzi wa UDSM wakafukuzwa chuo mwaka mzima kisa punch kumdhalilisha Rais Mwinyi..

kati ya hao walifukuzwa kisa mzee mwinyi babu yangu wa mwisho upande wa baba nae alikuwapo...............
 
nikiwa field yangu august 2015 mzee mmoja alinisimulia hii hadithi ya LEVINA (RIP)na habari za mzee PUNCH..zinasisimua...mzee yule alisimulia jinsi Punch walivyosababisha wanafunzi wa UDSM wakafukuzwa chuo mwaka mzima kisa punch kumdhalilisha Rais Mwinyi..
Ha ha ha!
Mnazungumzia Mzee Punch wakati wa Rais Mwinyi?
Wengine tulikuwepo wakati wa Mwalimu!!
 
kuna waliokuwemo kwenye the punch na leo wapo humu ni watu wazima dah shame on you its sad karma will pay
 
Duh sasa ilikuaje ndio chuo kiliishia hapo

Niliambiwa baada ya kufukuzwa hawakuruhusiwa kufanya shughuli YOYOTE ya kiuchumi...na kila ijumaa walitakiwa kuripoti ofisi za mkuu wa wilaya..mzee alyenipa hiyo stori akasema siku moja wakiwa wameripoti wilayani wakawakuta viongozi kadhaa wa serikali wakawalazimisha kusukuma gari lao zima huku wao viongozi wakiwa ndani yake kwa umbali wa karibia kilometa mbili!!!
ila baada ya muda wa adhabu walirudi chuo wakagraduate.
 
Hata ihungo boys..(st.Thomaa more) miaka ya nyuma 90s to early 2000, ilikuwepo office ya wanafunz ya ULINZI. Ulikuwa ukipelekwa humo...unatandikwa bakora,pushup ,waya na mateso mengine mengi..enzi za wakina jon robert, ndyetabula,Kimanda, revocatus,bonny..nk..wange kuona tu umeenda bwaloni na layer (mafuta ya kulia maharage) na usiwape..balaa lake..utalisikia.....siku moja mwl. Mmoja (a.k.a DUBU) alikuwa mwl. Wa civics..alinikuta saa tano nimelala bwenini akasema nani kakuleta humu toka bweni jingine...nikimwambia nimepangiwa hapa...alinipeleka kule ulinz usiku huo akasema tupigane ngumu ukishinda utoke hapa..na ukishindwa "wafwa" mwl. Dubu. Alikuwa anavifaa vya mazoez...nilipigwa mpk basi...bahat nzur akaletwa muoz mmoja muda huo..ikawa pona yangu...! Hizi shule za boys tatizo sana..baada yakumaliza chuo kikuu bahati nimeenda kampala nikamkuta john robert yuko makerere ..nikamwambia mbona ulikuwa katiri hivyo akasema TUSAMEEHEANE..
 
Back
Top Bottom