Serikali yenyewe hailipi kodi kwa magari inayoingizaHabari wana JF,
Mimi naomba kuuliza: 1). Hivi ni kwa nini kodi ya magari mapya ni kubwa kuliko kodi ya magari ya miaka ya zamani? 2). Inakuaje kodi ikawa kubwa kuliko bei ya kununua+kusafirisha hadi linafika bandarini Dar es salaam?
Hahahaaaaaa…….serikali iangalie hizo kodi. Inasababisha wananchi wasiendeshe magari ya kisasa. Impacts ya magari ya kisasa ni nyingi:Kuna kitu kinaitwa TRAB NA TRAT yani ndo huwa kina kina kinaaa kinaaa............................kinaaaa.................
Wakati tulitegemea siye wenye Bandari kupata unafuu mkubwa kuliko walioikosa, lakini mambo ni kinyume kabisa!Habari wana JF,
Mimi naomba kuuliza: 1). Hivi ni kwa nini kodi ya magari mapya ni kubwa kuliko kodi ya magari ya miaka ya zamani? 2). Inakuaje kodi ikawa kubwa kuliko bei ya kununua+kusafirisha hadi linafika bandarini Dar es salaam?
Si uelezee hapa tujue sababu? Halafu kuna nchi wanatoza kodi ndogo kwenye bidhaa mfano Uganda , wao hawajaisoma hiyo topic ya Taxation?Mtoa mada usitumie hisia pitia mada ya Taxation O-level ujue sababu za kuweka kodi kubwa kwenye imported goods.
Umeongea ukweli. Hii sheria ibadilike.Kodi watu wamepiga kelele hatuoni mabadilio yeyote zaidi zaidi wanaongeza kodi kimya kimya...
Bara bara nzuri zinajengwa kwa ajili ya matumizi ya kupeleka magari mazuri Nchi jirani maana wao kodi zao zinalipika....
Huyu wa O-level topic ya taxation hachana naye. Ni mwanafunzi.Si yelezee hapa tujue sababu? Halafu kuna nchi wanatoza kodi ndogo kwenye bidhaa mfano Uganda , wao hawajaisoma hiyo topic ya Taxation?
Hahaha vimo (viwango) kutofautiana ni kawaida. Mliozaliwa siku moja leo hii tukiwapima leo hii hamuwezi kulingana urefu na uzito.Si yelezee hapa tujue sababu? Halafu kuna nchi wanatoza kodi ndogo kwenye bidhaa mfano Uganda , wao hawajaisoma hiyo topic ya Taxation?
Hao wa Topic achana nao Mkuu wanaingia kwenye Test ya Taxation muda si mrefu...Si uelezee hapa tujue sababu? Halafu kuna nchi wanatoza kodi ndogo kwenye bidhaa mfano Uganda , wao hawajaisoma hiyo topic ya Taxation?
Bidhaa nyingi zinapita bandari yetu ila Watanzania wanafata hiyo bidhaa Uganda ilikolipiwa kodi na kuja kuuza Kariakoo kama mashuka na bidhaa zingine kuingiza magari na nguo Uganda sio kodi kubwa kama Tanganyika...Hahaha vimo (viwango) kutofautiana ni kawaida. Mliozaliwa siku moja leo hii tukiwapima leo hii hamuwezi kulingana urefu na uzito.
Ishu ya Uganda ni hiyo hiyo Kodi zipo ila tofauti ni viwango.
Nashukuru kwa kuelewa.Bidhaa nyingi zinapita bandari yetu ila Watanzania wanafata hiyo bidhaa Uganda ilikolipiwa kodi na kuja kuuza Kariakoo kama mashuka na bidhaa zingine kuingiza magari na nguo Uganda sio kodi kubwa kama Tanganyika...
Sema sijaelewa bado kuhusu Topic yako ya Taxation emu nielezee nisiendelee kwenda chaka mkuu tafadhali...Nashukuru kwa kuelewa.
Unawekaji tax kubwa kwa bidhaa ambazo hata huzalishi? Weka tax kwa bidhaa ambazo unazalisha ili kudiscourage watu kuimport bidhaa kama hizo toka nje ili ulinde viwanda.Mtoa mada usitumie hisia pitia mada ya Taxation O-level ujue sababu za kuweka kodi kubwa kwenye imported goods.
Huyu jamaa nimemuonba aielezee hiyo topic kala kona . Madhara ya kukariri hayoSema sijaelewa bado kuhusu Topic yako ya Taxation emu nielezee nisiendelee kwenda chaka mkuu tafadhali...
Akikuelekeza hiyo Topic yake uni tag mkuu...Huyu jamaa nimemuonba aielezee hiyo topic kala kona . Madhara ya kukariri hayo
Hachaneni na huyo mwanafunzi.Huyu jamaa nimemuonba aielezee hiyo topic kala kona . Madhara ya kukariri hayo