NabiiMweusi19
Member
- Feb 27, 2017
- 30
- 10
Mkuu naomba site ya hiyo libraryIngia kwenye library ya Dunia(google) utapata kila kitu kuhusu kitabu hicho mkuu!
Mkuu naomba site ya hiyo libraryIngia kwenye library ya Dunia(google) utapata kila kitu kuhusu kitabu hicho mkuu!
Unaandika upuuzi mtupu tu hapa jamvini, kimsingi unaboha, waache watu wenye uwezo wachambuwe mambo watu wenye akili timamu tunapata majawabu na fact.Ajabu na kweli, hawa wanaoleta hizi stories hapa wana hidden agendas na mipango mikakati maalumu ya kuzitekeleza.
Kama mtu ana weza kuandika haya kuhusu kitabu cha Henoko lakini eti kashindwa kuona wakati ule Bwana Yesu anasulubiwa msalabani mmoja wa wale wawili waliosulibiwa naye alingia mbinguni kwa kumuomba Bwana Yesu palepale wakiwa wametundikwa, haikuhitaji nukuu ya Henoko wala Yashua ili ahakikishiwe huo wokovu wake.
Na Mungu kawapiga upofu na utahira wa kudhania kuwa kukosoa Biblia kutasaidia kuwarudisha nyuma wale ambao walishakata shauri kumpokea Yesu. Alishindwa Paulo wakati ule akitwa Sauli wataweza hawa wa kizazi cha makinikia?
Na washawasha!
Mkuu mi nimemuacha tu ajaze server za watu ila haeleweki na bado kashupaza shingo ngoja nisubiri mtu mwenye challenge tofautiUnaandika upuuzi mtupu tu hapa jamvini, kimsingi unaboha, waache watu wenye uwezo wachambuwe mambo watu wenye akili timamu tunapata majawabu na fact.
Ila wewe unapwaya sana ingawa unahisi unajuwa lakini hujui lolote ni walewale wafia dini tu mentally slave.
Mkuu naomba unitag kwenye huo uzi utakao uanzisha.Ninawaza kuandika uzi kuhusu mambo kadhaa ya "sirini" kisha utapata mwanga mkuu....
Usijali mkuu,tuombe uzima tu....Mkuu naomba unitag kwenye huo uzi utakao uanzisha.
Unaandika upuuzi mtupu tu hapa jamvini, kimsingi unaboha, waache watu wenye uwezo wachambuwe mambo watu wenye akili timamu tunapata majawabu na fact.
Ila wewe unapwaya sana ingawa unahisi unajuwa lakini hujui lolote ni walewale wafia dini tu mentally slave.
Siyo suala la nani aliyeandika, ni suala la nani aliamuwa vitabu vipi viwepo kwenye bible na vipi visiwepo. Kimsingi utawala wa Roma ndiyo ulioamuwa vitabu gani viwepo kwenye bible na vipi visiwekwe kulingana na maslahi ya utawala wao.Ili kuweza kujibu swali lako lazma ujue ni Nani aliandika biblia hapa itakusaidia kujua Kama kulikua na self interest ama la, kwanini aliandika? Ni lini aliandika? Hii pia inasaidia kujua kitu flan mfano utawala ulopita kafulila alikua tumbili ila sasa anasifiwa mambo hubadilika na wakati,alimwandikia Nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo suala la nani aliyeandika, ni suala la nani aliamuwa vitabu vipi viwepo kwenye bible na vipi visiwepo. Kimsingi utawala wa Roma ndiyo ulioamuwa vitabu gani viwepo kwenye bible na vipi visiwekwe kulingana na maslahi ya utawala wao.
Achilia mambo mengine ila ni wazungu ndo wameelekeza mawazo yetu kudhani malaika wana rangi ya brown kama wao. In fact wazungu sio weupe. Najua kitu cheupe ni kama karatasi. Pia hakuna waafrica sio weusi ila brown mixture.Salam
Katika soma soma zangu na kutafuta ukweli na kumtafuta Mungu wa kweli nikagundua kuna vitabu viliondolewa kwenye biblia i.e non canonical books mfano ni book of Enoch na rest of Ester
Sababu zinazotolewa ni kwamba eti kina verses ambazo wao wanaamini hazikuongozwa na roho mtakatifu.
Nilichojifunza katika kitabu cha Enoch ni juu ya origin ya mtu mweupe (kina eleza Mungu aliumba mtu mweusi ila mtu mweupe alitokana na malaika wenye tamaa i.e fallen angels waliokuwa wakiwaingilia kimwili binadamu). Vile vile kinaeleza juu ya mpinga kristo na siku za mwisho.
Swali langu:
Nini kinachowafanya wajue kama ni hekima za binadamu ukilinganisha na vitabu vingine?
Ni kwanini kilitolewa ikiwa kama hekima za Enoch i.e great grandfather of Noah zilitambuliwa na kutajwa waziwazi na waandishi wa agano jipya mfano Jude?
Huyo Enoch nae ni nani kwenye ukristo? Kwenye wanafunzi wa Jesus sijawahi msikiaMkuu si bora wakatoliki hao wengine ndio hawataki kabisa kusikia hivyo vitabu vingine.
Ile michoro ya Wamisri wa kale uliwahi kuiangalia vizuri? Ndugu zako wa arabia nao walijifunza kwa wazungu?Watu weusi kabla ya kuja watu weupe hakukuwa na historia ya wanaume kuingiliana kinyume na maumbile. Hakukuwa na ndoa za jinsia moja. Haya mambo ya Sodoma hayakuwepo.
Mkuu hao sidhani kama walikuwa karibu na wabantu kama mimi. Hao walichangamana na watu wa Middle east na ulaya ya wagiriki na warumi.Ile michoro ya Wamisri wa kale uliwahi kuiangalia vizuri? Ndugu zako wa arabia nao walijifunza kwa wazungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia ni nini na ilitoka wapi?
Wakati wa mitume walikuwa wanawafundisha watu kwa kutumia nini?
Mkuu kazi ipo achana na huyo mbumbumbu
Pole sana. Naona umedandia gari kwa mbele. Aliyeuliza swali ni mwelewa na amemwuliza mbumbumbu mbishi kama wewe anayeamini kuwa Agano Jipya lilikuwepo wakati wa Yesu.UPO HAI UMEFUFUKIA HUKU PANGONI ?????
MJIBU HUYO KIJANA USIJAMBE HOVYO