Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 8,669
- 22,377
nadhan huyu bwana Yiyu Sheping anachemka kwa kudhani biblia ilikuwepo tokea zamani za yesu na mitime wake, biblia ni mkusanyiko wa maandishi ya watu mbalimbal ktk kitabu kimoja, kabla ya hapo walikua wakisoma vikiwa separet.jaribu kuwaza nje ya box