Kwanini kila MRADI mkubwa wa barabara anayesimamia/anayejenga ni Mchina au raia wa Kigeni? Kweli Wabongo hatuwezi?

Tazama bara bara za tarura...kisha linganisha za dmdp
Za dmdp or ULGSP sio za tarura?, issue ni budget wala tusilete longolongo. Tarura halmashauri nyingi budget ni between 1 to 2b ambayo kwa kiwango cha AC haizidi 2km sasa unafikiri watafanya maajabu gani. Back to the topic local contractor wanakabiliwa na tatizo la mitaji baada ya mikopo ya bank kuhitaji dhamana kubwa tofauti na unachoomba, pili mchina anaoffer low price na mtaji wa kutosha kiasi kwamba hata akicheleweshewa malipo anaweza kuendelea na kazi kwa kiasi tofauti na wazawa
 
Elimu yetu Elimu Elimu,Elimuu


Usifkr wanapewa kwa kupenda kabla mradi haujaanza kuna ushindani wa tenda kwa makampuni kuna makampuni kama yote ya kibongo na machache ya kigeni chaajabu makampuni ya kigeni kama hao wachina (China civil) ndio wanaoongoza kwa kushinda tenda kwaio wanaangalia ubora unaweza kumpa mbongo tenda ya barabara baada ya mwaka mmoja ikaota mashimo yotee
QUALITY MATTERS
 
Nchi hii kama zilivyo nchi karibu zote chini ya jangwa LA sahara itaendelea kuhitaji kujenga maelfu ya barabara kwa miaka kadhaa ijayo. Angalia sasa kujipanga kwetu kukabiliana Na hali hiyo
 
Wakandaras wa kibongo magumashi,angalia mkandaras anayejenga barabara ya Makongo juu,hajamaliza ushajua tu huyu msanii na hamna kitu.
 
Wabongo waizi sana yani.. Ubaya sasa hata wale vibarua huwa wanaiba sana mifuko ya cement kama msimamizi akiwa mchina sasa je angekuwa mbongo si ndo kuanzia boss mwizi mpaka mbeba zege.. Hapo mtajenga barabara au takataka.
 
Back
Top Bottom