Kwanini kila MRADI mkubwa wa barabara anayesimamia/anayejenga ni Mchina au raia wa Kigeni? Kweli Wabongo hatuwezi?

Usilolijua ni kama usiku wa giza kampuni nyingi za kichina zinashinda tenda na zina mitaji ya kuweza kujenga hata nusu ya kazi bila kuomba malipo maana zinawezeshwa na Nchi yao. Kampuni za kibongo changamoto ni mitaji pia halafu huwezi tupia pesa yako karibia nusu ya kazi bila kuomba malipo maana kuidai serikali inahitaji moyo unaweza filisika na kampuni kufa kabisa bora kampuni za kigeni wanaweza kuelewana hata wakapewa kitalu kufidishia deni lao.
Za kuambiwa changanya na zako.​
 
Mm hua naona vyuo vikuu vyetu tufugie kuku tu maana hata wasomi wetu ni matikiti maji tu ww angalia ma profesa wetu walivo weupe kichwani. Elimu yetu haitusaidii kabisa kila miradi wanasimamia wageni ukimpa mbongo basi jiandae kupigwa ama kujengewa chini ya kiwango.
 
Kampuni za kichina huwa zinapata Zabuni serikalini kwa sababu wanajiweza na vitendea kazi vipo tayari kwa ajili ya kuitekeleza hio miradi. Watanzania binafsi nafikiri bado tuna kazi ya ziada kuifanya ili tuweze kuzichukua zabuni zilizo kubwa serikalini na kuacha kusubiria bahati.
 
Usilolijua ni kama usiku wa giza kampuni nyingi za kichina zinashinda tenda na zina mitaji ya kuweza kujenga hata nusu ya kazi bila kuomba malipo maana zinawezeshwa na Nchi yao. Kampuni za kibongo changamoto ni mitaji pia halafu huwezi tupia pesa yako karibia nusu ya kazi bila kuomba malipo maana kuidai serikali inahitaji moyo unaweza filisika na kampuni kufa kabisa bora kampuni za kigeni wanaweza kuelewana hata wakapewa kitalu kufidishia deni lao.
Za kuambiwa changanya na zako.​
Kweli mdau tunachukuliana oya oya sababu ya kujuana
 
Wabongo wakipewa wanapiga
Kuna siku nlipita barabara ya bakwata ile mpya....mjenzi aliyejenga mzushi kichizi
Ona sasa mchina alivyojenga barabara kinondoni bwawani barabara inaonekana

Ova
SIO KWAMBA KUNA UPENDELEO?
 
SIO KWAMBA KUNA UPENDELEO?
Hata kama upendeleo makampuni ya kibongo wezi tu wapigaji
Kuna kampuni ya mbongo alipewaga atengeneze barabara ya kinondoni kuelekea salenda....kazi ilikuwa uhuni mtupu
Kwanza laminate alikuwa anachemsha kwa kutumia mapipa na kuni (Nilishawahi mtukana huyo mkandarasi live)

Ova
 
Hata kama upendeleo makampuni ya kibongo wezi tu wapigaji
Kuna kampuni ya mbongo alipewaga atengeneze barabara ya kinondoni kuelekea salenda....kazi ilikuwa uhuni mtupu
Kwanza laminate alikuwa anachemsha kwa kutumia mapipa na kuni (Nilishawahi mtukana huyo mkandarasi live)

Ova
BASI NDIO MAANA AISEE
 
Back
Top Bottom