Kyekue Looken
New Member
- Feb 9, 2012
- 1
- 1
Mungu akusamehe kwa maana hujui usemalo!
Mungu akusamehe kwa maana hujui usemalo!
Ulinzi ni lazima kwa mtu maarufu asiye Mpumbavu !
Mtumishi wa Mungu ni wa thamani mno.
Dini ya uongo haijifichi.
sio kwamba ameuliza ili ajue kama unafahamu ni vema ukamwelewesha
Hizi ni stori tu kama zile za Kawawa...Nani kakwambia Pengo Hana walinzi. Kwa taarifa yako, pengo safari zake zote yupo na masister . Wale masister ni balaa, ukiwakagua mifukoni utakimbia. Wanavifaa vyote. Huwa wanatembea na silaha. Fanya uchunguzi umuone Pengo, Masister wapo nae sambamba. Tena masister wawili, inavyosemekana hao masister wamepitia jeshi na usalama wa taifa.
nashangaaa kadinali pengo nimtu mkubwa kidini duniani maisha yake ya kawaida tu shekhe mkuu kawaida tu ,sasa huyu kwanza sio nabiii,nadhani ni mojawapo wa nguvu za shetaniNimeshangazwa sana na ulinzi ambao kiongozi wa kanisa la Efatha Ministry alivyokuwa na ulinzi wa kutisha. Amekuja hapa songea kwenye msiba wa dadake na walinzi lukuki wenye miwani nyeusi kama wale wa Obama.Najiuliza kwanini ulinzi huu,kuna tatizo la usalama nchini kwa sasa?Mbona Kardinali Pengo hana?Mbona sheikh mkuu hana?Kwanini huyu?Gari lake ni la gharama kubwa.
Kuna hili lilinishangaza zaidi.Wakati amekuja hapa songea alitanguzana na vibinti vyenye umri kati ya 18 hadi 22 hivi visivyopungua 7. Vyote amevivisha suruali na shati nyeusi na kuviweka kwenye gari moja. Sijui malengo yalikuwa nini.
MOD MSINIPIGE BAN WALA SINA HILA NAE BALI KUJUA TU MAMBO HAYA
nashangaaa kadinali pengo nimtu mkubwa kidini duniani maisha yake ya kawaida tu shekhe mkuu kawaida tu ,sasa huyu kwanza sio nabiii,nadhani ni mojawapo wa nguvu za shetani
Acha kutudanganya wewe unaye jiita mlokole,maandiko gani yanasema adui katika mwili mjilinde kwa body guards,,utapeli wenu na dhuluma ndio zinawafanya mtembee na body guard,kama wewe ni Mtume na Nabii utaogopaje walimwengu?
Kardinali Pengo hana walinzi kwa kuwa anakula halali lakini Gwajima na Mwingila wanahitaji walinzi kwa kuwa wamezoea kula haramu