Kwanini Josephat Mwingira ana ulinzi wa kufuru?

Kwanini Josephat Mwingira ana ulinzi wa kufuru?

Halaf wakitoa mahubirii utawasikiaa kua na amani ya bwana, Mungu yupo pamoja nawe usiogope chochote"" wakati kwanza wao wanatembea na walinzii haa uongo huuu

Bunch of lunate na ngono tu matapeli wasaka tonge wanahitaji ulinzi
 
watumishi watakatifu wana mabodigadi
na vibaka wanalindwa na hirizi za gadi
 
Halaf wakitoa mahubirii utawasikiaa kua na amani ya bwana, Mungu yupo pamoja nawe usiogope chochote"" wakati kwanza wao wanatembea na walinzii haa uongo huuu

Si ndo apo sasa, wenyew kutwa security 24 hrs
 
Kwa walokole, adui wa kiroho tunajilinda na kupambana naye kwenye maombi. Adui katika mwili tunajilinda kwa ulinzi wa kimwili (bodyguards) kama unajihisi hauko salama.
Huwezi jua wanaomzunguka Pengo au sheikh mkuu ni akina nani, au kwa vile hawavai combat au miwani myeusi ndiyo maana unasema hawana walinzi? Jaribu siku moja uwasogelee uone mambo!

Ukweli mtupu.
 
Kwa walokole, adui wa kiroho tunajilinda na kupambana naye kwenye maombi. Adui katika mwili tunajilinda kwa ulinzi wa kimwili (bodyguards) kama unajihisi hauko salama.
Huwezi jua wanaomzunguka Pengo au sheikh mkuu ni akina nani, au kwa vile hawavai combat au miwani myeusi ndiyo maana unasema hawana walinzi? Jaribu siku moja uwasogelee uone mambo!
Mbona pope paul alishakula risasi za tumbo?.mtu akikuamlia bodyguard anasaidia nini?.

ndo maana pope amegoma ulinzi wa kupita kiasi ni ubishoo tu.
 
Katika ulimwengu wa roho maandiko yanatuambia "katika jina langu na mapepo yatatoka..."lakini kumbuka pia katika biblia uliweza kuona watu walioinuliwa na Mungu kama mfalme Suleiman alikua na walinzi kama unavoona mwingira.Sikia nkuambie, mtu anapotoa neno la Mungu nmaana yake ni kwamba anahitaji kusadiki juu ya ushuhuda wake na ndio maana maandiko yanasema "tazama nitawainua wote walionacho, na kuwaondolea wale wasionavyo" maana yake katika theological concept of view ni kwamba, huwezi kumwambia mtu amtegemee Mungu ili awe tajiri wakati wewe unaehubiri uko hovyoo.. biblia inatueleza kwamba Tangu mwanzo Mungu alibariki kazi ya mikono yako na atakuinua mbele ya mataifa.Kwahiyo mtoa mada nkutoe wasiwasi ya kwamba hata katika kipindi cha manabii ndio maana unakuta walikua na watu wanaitwa "wanafunzi" hili neno si kama unavolijua ila katika elimu ya theology ndo maana zinakua zingine.anyway nadhan nimekupa mwanga.
MUNGU AKUBARIKI NA AKUPE IMANI
 
Wanadharau Ulinzi wa Mungu na kuthamini ulinzi wa kibinadamu.Ni dalili kuwa wapo kidunia zaidi.Kama kweli ni watumishi wa Mungu kwa nn wanashindwa kumtegemea Mungu kwa ulinzi?Hakuna jambo lisilomshinda Mungu
 
Nimeshangazwa sana na ulinzi ambao kiongozi wa kanisa la Efatha Ministry alivyokuwa na ulinzi wa kutisha. Amekuja hapa songea kwenye msiba wa dadake na walinzi lukuki wenye miwani nyeusi kama wale wa Obama.Najiuliza kwanini ulinzi huu,kuna tatizo la usalama nchini kwa sasa?Mbona Kardinali Pengo hana?Mbona sheikh mkuu hana?Kwanini huyu?Gari lake ni la gharama kubwa.
MOD MSINIPIGE BAN WALA SINA HILA NAE BALI KUJUA TU MAMBO HAYA

katika wachungaji ambao siwa amini huyu ni wa kwanza eti "yesu oyee" ndio nini? halafu uta msikia ana waambia waumini wake "weka makalio yako chini" lugha gani hii iliyokosa ustaarabu ndani ya nyumba ya bwana!

Mwingira ni fake pastor hilo halina ubishi.
 
katika wachungaji ambao siwa amini huyu ni wa kwanza eti "yesu oyee" ndio nini? halafu uta msikia ana waambia waumini wake "weka makalio yako chini" lugha gani hii iliyokosa ustaarabu ndani ya nyumba ya bwana!

Mwingira ni fake pastor hilo halina ubishi.


Hahaha is that for real. ..weka makalio yako chini??? Injili imeingiliwa na wasanii aisee. .this is shit...kweli siku ya hukumu kuna watu tutawashangaa hawaingii kwenye ufalme
 
Nimeshangazwa sana na ulinzi ambao kiongozi wa kanisa la Efatha Ministry alivyokuwa na ulinzi wa kutisha. Amekuja hapa songea kwenye msiba wa dadake na walinzi lukuki wenye miwani nyeusi kama wale wa Obama.Najiuliza kwanini ulinzi huu,kuna tatizo la usalama nchini kwa sasa?Mbona Kardinali Pengo hana?Mbona sheikh mkuu hana?Kwanini huyu?Gari lake ni la gharama kubwa.
MOD MSINIPIGE BAN WALA SINA HILA NAE BALI KUJUA TU MAMBO HAYA

Hata kakobe hana ulinzi wowote
 
katika wachungaji ambao siwa amini huyu ni wa kwanza eti "yesu oyee" ndio nini? halafu uta msikia ana waambia waumini wake "weka makalio yako chini" lugha gani hii iliyokosa ustaarabu ndani ya nyumba ya bwana!

Mwingira ni fake pastor hilo halina ubishi.

hahajahahaha...hawa manabii si mchezo
 
Nimeshangazwa sana na ulinzi ambao kiongozi wa kanisa la Efatha Ministry alivyokuwa na ulinzi wa kutisha. Amekuja hapa songea kwenye msiba wa dadake na walinzi lukuki wenye miwani nyeusi kama wale wa Obama.Najiuliza kwanini ulinzi huu,kuna tatizo la usalama nchini kwa sasa?Mbona Kardinali Pengo hana?Mbona sheikh mkuu hana?Kwanini huyu?Gari lake ni la gharama kubwa.
MOD MSINIPIGE BAN WALA SINA HILA NAE BALI KUJUA TU MAMBO HAYA

waache watimize unabii maana wanakwenda kinyume na maagizo ya yesu.
wamekuwa matapeli kupitia jina la yesu adhabu yake nahisi ni maradufu.
wanaweka hela mbele kuliko kuwaongoa mioyo ya waumini
 
Nimeshangazwa sana na ulinzi ambao kiongozi wa kanisa la Efatha Ministry alivyokuwa na ulinzi wa kutisha. Amekuja hapa songea kwenye msiba wa dadake na walinzi lukuki wenye miwani nyeusi kama wale wa Obama.Najiuliza kwanini ulinzi huu,kuna tatizo la usalama nchini kwa sasa?Mbona Kardinali Pengo hana?Mbona sheikh mkuu hana?Kwanini huyu?Gari lake ni la gharama kubwa.
MOD MSINIPIGE BAN WALA SINA HILA NAE BALI KUJUA TU MAMBO HAYA

Kawakamua watu wake mpaka mavi ya mwisho, anaogopa wakishtuka ni nini kitatokea !
 
Back
Top Bottom