Umenikumbusha Tangazo La Clauds Fm ,, Shekhe Sharif MAJINI atadosha DUA mujalabu PAPpp hahahNasikia nyie mna walinzi wasioonekana a.k.a M.A.J.I.N.I
Wanajihami na kutundulisiwaNimeshangazwa sana na ulinzi ambao kiongozi wa kanisa la Efatha Ministry alivyokuwa na ulinzi wa kutisha. Amekuja hapa songea kwenye msiba wa dadake na walinzi lukuki wenye miwani nyeusi kama wale wa Obama.Najiuliza kwanini ulinzi huu,kuna tatizo la usalama nchini kwa sasa?Mbona Kardinali Pengo hana?Mbona sheikh mkuu hana?Kwanini huyu?Gari lake ni la gharama kubwa.
Kuna hili lilinishangaza zaidi.Wakati amekuja hapa songea alitanguzana na vibinti vyenye umri kati ya 18 hadi 22 hivi visivyopungua 7. Vyote amevivisha suruali na shati nyeusi na kuviweka kwenye gari moja. Sijui malengo yalikuwa nini.
MOD MSINIPIGE BAN WALA SINA HILA NAE BALI KUJUA TU MAMBO HAYA
Mtakatifu Mwingira kagoma kupima DNA.Kwa sababu akina gwajima ,geordavie,mwingira,mzee wa upako ,kakobe ni watakatifu watumishi wa mungu,wenye kutembea na nguvu za kuponya,miujiza na kuondoa mapepo kama Yesu,watu watataka kuwagusa ata suti zao ili wapone,'ili kutoharibu maana ya makusanyiko ya watu huamua kuwa na walinzi. Makanisa hayo mengine viongozi wenu huwa wanaeshimiwa lakini watu hawatarajii miujiza toka kwao,hawatachafua majoho yao. Mi uwa najiulizaa,ata papa huwa anaishia kubusu tu wagonjwa,sijawahi ona akitenda tendo la muujiza kama yesu.Bali watu huamini wameguswa na mtakatifu. Na unajua hujimix ,wanaita baba mtakatifu, lakini akifa wanakaaa baadae wanasema baada ya jopo la maaskofu kusali ,wameoneshwa amekubalika kuwa mtakatifu mbinguni,hapo humtangaza rasmi,,sasa kwa nini alijiita baba mtakatifu akiwa hana uhakika!