Kwanini ID mpya tu ndio zinatafuta mchumba?!

Kwanini ID mpya tu ndio zinatafuta mchumba?!

Hivi wewe si ulileta bandiko humu lile la kiunyanyapaa!! Vipi ulipata au bado nafasi iko wazi?
Nilipata. Mimi nilikuja na ID hii hii sasa nashangaa mabandiko mengine new IDs
 
Hivi kumbe kutengeneza id hadi umuombe mod?
Ukitaka kubadilisha tu.

Ila kama unataka kuwa id nyingine Ni wewe mwenyewe tu, ila baki na yako hiyo hiyo tu.

Ngoja nijaribu kufungua id nyingine nitafute mchumba humu
 
Ukitaka kubadilisha tu.

Ila kama unataka kuwa id nyingine Ni wewe mwenyewe tu, ila baki na yako hiyo hiyo tu.

Ngoja nijaribu kufungua id nyingine nitafute mchumba humu
Nataka kujua namna ya kufungua mpya, hii siibadili.
 
Hii sikufungua mimi, nilifunguliwa.
Hiyo register naipata wapi?
Kama unatumia app ya JF. Kwa juu kule upande wa kulia vidoti vitatu ukitachi pale inakuja options mojawapo ndio hiyo register. Ukifungua hiyo register inakuletea vitu vya kujaza mpaka usajili unakamilika
 
Back
Top Bottom