Gaspare Mbile
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 1,567
- 1,605
Kutafuta mchumba JF ni sawa na kusubiri ndege kituo cha mwendokasi.
Uache kunichongea! Si unajua vile mi nakupenda. Hivi haujajifungua tu?Usiposema sasa nitajuaje na nitajiepusha vipi isitokee tena jamani
Oooh hebu ngoja nitajaribu then taleta mrejesho!Kama unatumia app ya JF. Kwa juu kule upande wa kulia vidoti vitatu ukitachi pale inakuja options mojawapo ndio hiyo register. Ukifungua hiyo register inakuletea vitu vya kujaza mpaka usajili unakamilika
Fanya hivyoOooh hebu ngoja nitajaribu then taleta mrejesho!
Toka lini umeanza kunipenda?Uache kunichongea! Si unajua vile mi nakupenda. Hivi haujajifungua tu?
Ni hao hao akina wakongwe... wanaona noma kutumia ID zao kongwe kutafuta wachumba, hivyo wanaamua kutumia mpya..Hivi wale wenye ID tulizozoea ndio kusema hawana shida ya wachumba au ndio hawa wanakuja kivingine? Mimi siku nikiona old ID kama ya miss chagga atoto Valentina zinatafuta mchumba nachangamkia fursa faster!
Peter umechokajamani natafuta mchumba
Hata sijui.Toka lini umeanza kunipenda?
Kwanini haujui mpendwa wangu?Hata sijui.
Kwasababu sijui mpendwa.Kwanini haujui mpendwa wangu?
mkuu pm imefika page ya 2,000 huko wanatutafuta kwa hiyo siku nikitaka mchumba naenda kupitia moja moja nione aliyejielezea vizuri sababu wale walisema wanakakipato sijawajibu vibaya,.......... lingine napitaga jukwaa la biashara na ujasiria mali najipendekeza kule nawafuata pm huwa nikiona fursa natongozaHivi wale wenye ID tulizozoea ndio kusema hawana shida ya wachumba au ndio hawa wanakuja kivingine? Mimi siku nikiona old ID kama ya miss chagga atoto Valentina zinatafuta mchumba nachangamkia fursa faster!
Ndio maana nilikutaja hapo nilijua hutaniangusha. Wewe najua huna sababu ya kutafuta, kila siku unatafutwa. Application yangu najua bado unayo, nikitimiza kile kiwango cha pesa nakuja.mkuu pm imefika page ya 2,000 huko wanatutafuta kwa hiyo siku nikitaka mchumba naenda kupitia moja moja nione aliyejielezea vizuri sababu wale walisema wanakakipato sijawajibu vibaya,.......... lingine napitaga jukwaa la biashara na ujasiria mali najipendekeza kule nawafuata pm huwa nikiona fursa natongoza
fanya hima aisee kuna jamaa mmoja namvizia kule jukwaa la biashara kuleNdio maana nilikutaja hapo nilijua hutaniangusha. Wewe najua huna sababu ya kutafuta, kila siku unatafutwa. Application yangu najua bado unayo, nikitimiza kile kiwango cha pesa nakuja.