Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
ha ha hahhahh kigezo kikubwa kitakua uwe na hela tu yaan we kuwa na hela tu basiIla vigezo isiwe akufukuzaye hakwambii toka aisee.
Basi sibadilishi id
ha ha hahhahh kigezo kikubwa kitakua uwe na hela tu yaan we kuwa na hela tu basiIla vigezo isiwe akufukuzaye hakwambii toka aisee.
Basi sibadilishi id
Nini tena?WEE vipeeeeee
Afadhali.Nitakutumia my sister
Ngoja niangalie account yangu inasoma ngapi aiseeha ha hahhahh kigezo kikubwa kitakua uwe na hela tu yaan we kuwa na hela tu basi
Unataka kuniambia toka ujiunge hujawahi pata pm kweli?Afadhali.
angalia kama zimepungua ziongeze ongezeNgoja niangalie account yangu inasoma ngapi aisee
Itabidi nifanye hivyo iwe rahisi zaidiangalia kama zimepungua ziongeze ongeze
Acha kunisingizia, hizo itakuwa ulituma kwa yule nanihii, sijawahi kupata pm yako.Huyo mimi peke yangu nishamtumia PM pages 25!
Nishakublock . humpati miss chaggaNdio maana nilikutaja hapo nilijua hutaniangusha. Wewe najua huna sababu ya kutafuta, kila siku unatafutwa. Application yangu najua bado unayo, nikitimiza kile kiwango cha pesa nakuja.
Huendi mahali wewe. Wewe ni Mali yangu badoWivu wa nini wakati ulinipiga kibuti mwenyewe? atoto mdogo wako anatafuta attention huku.
Aiseee!!! Hapa mdogo tu ninae!Hata Mimi nilishatafuta mchumba kwa new I'd teh teh..
Pm zake sasa
Aiseeee!!! Sasa utasubiri wangapi?Ngoja nisubiri hio siku.🙂🙂