Kwanini huwa unasema hili neno?

Kwanini huwa unasema hili neno?

Kuna wengine wanakuwa na uchizi unapigwa ngumi zakutosha au kukwaruzwa na makucha yao marefu!!utajuta usiombe yakukute....Nasikia mmoja walienda ukweni wakapewa Chumba sasa demu akamuwekea ngumu jamaa kuwa hapana hapa nikwetu sikupi maana utaanza kulia bure tupate aibu!...Jamaa akamwambia mkewe aky'anani silii basi akapanda honda yake unaambiwa aliposikia wazungu wanakuja akaangua kilio akisema "Si-si-nimekwa-kwa-mbiaaa sili siliii" hadi Baba mtu akaamka nakugonga vipi huko salama?? Mtoto wake wakike akasema huyu anaota kaanguka chini kutoka kwenye kitanda!!!:mod:

Yaaani weweeeee. Afu utasema wewe siyo BAZAZI?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom