Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,760
Haya maswali mbona yamekaa kibazazi hivi...
umeona eeeeeeh
Haya maswali mbona yamekaa kibazazi hivi...
Mi kuna dem mmoja yeye akikaribia alikuwa anasema "naliiza"
Mnajua maana yake?
Hebu mtafuteni mwallu Kaunga , Evelyn Salt au miss neddy wawaambieni ...lol!!!!!!!!!!!
So hao ndiyo ulishaweka nukta kwao mkuu?
Na sio kila mtu anasema hivyo wengine hawazungumzi na hawakijui kiingereza
Jaribu kufikiria ukiwa na mpenzi wako mnadu fikiria raha unayokuwa unapta,Je kwanini hupenda kuwambia mpenzi wako neno hili..Iam-m-com-ming....ba-e-by!! thanks!..Unafikiri kwanini useme hilo?Je unataka akufanyie nini before you coming? Je unataka akudake au?Nini maana ya hiki kitendo? kwanini usikae kimya ukashusha mzigo ukaaendelea na utaratibu mwingine?Karibu!
mmh...though you are a virginMi kuna dem mmoja yeye akikaribia alikuwa anasema "naliiza"
Mnajua maana yake?
Hebu mtafuteni mwallu Kaunga , Evelyn Salt au miss neddy wawaambieni ...lol!!!!!!!!!!!
Mi kuna dem mmoja yeye akikaribia alikuwa anasema "naliiza"
Mnajua maana yake?
Hebu mtafuteni mwallu Kaunga , Evelyn Salt au miss neddy wawaambieni ...lol!!!!!!!!!!!
kwakweli inabidi atoe ufafanuzi hiyo 'naliiza' alikua anaambiwa wapi au aturudishie fidia ya kufanya tuamini visivyo all this time
Coming where wizi mtupu,usikute kichwani anasema ona huyu mburula alivotoa macho kaa dereva wa guta,hamalizi tu?
Jaribu kufikiria ukiwa na mpenzi wako mnadu fikiria raha unayokuwa unapta,Je kwanini hupenda kuwambia mpenzi wako neno hili..Iam-m-com-ming....ba-e-by!! thanks!..Unafikiri kwanini useme hilo?Je unataka akufanyie nini before you coming? Je unataka akudake au?Nini maana ya hiki kitendo? kwanini usikae kimya ukashusha mzigo ukaaendelea na utaratibu mwingine?Karibu!
jamani pato la taifa kwa mwaka huu linategemewa kufika Tshs ngapi?
Ati huwa wanasema Kiswahili "nakuja"
jamani pato la taifa kwa mwaka huu linategemewa kufika Tshs ngapi?
Kuna wengine wanakuwa na uchizi unapigwa ngumi zakutosha au kukwaruzwa na makucha yao marefu!!utajuta usiombe yakukute....Nasikia mmoja walienda ukweni wakapewa Chumba sasa demu akamuwekea ngumu jamaa kuwa hapana hapa nikwetu sikupi maana utaanza kulia bure tupate aibu!...Jamaa akamwambia mkewe aky'anani silii basi akapanda honda yake unaambiwa aliposikia wazungu wanakuja akaangua kilio akisema "Si-si-nimekwa-kwa-mbiaaa sili siliii" hadi Baba mtu akaamka nakugonga vipi huko salama?? Mtoto wake wakike akasema huyu anaota kaanguka chini kutoka kwenye kitanda!!!:mod: