Kwanini huwa unasema hili neno?

Kwanini huwa unasema hili neno?

Pole kwa kukushtua usingizini umbuje,nilikuwa nampa taarifa rasmi Eiyer afungashe virago maana soon unakuwa baba paroko.
Mzima lakini umbuje?

Tangu lini wewe umekuwa msemaji wa Parokia??

Hivi Husninyo uko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Uwiiii!
Yaani wewe,Mungu akutetee tu

Anitetee tena??

Inatakiwa akutetee wewe unaemsumbua mtumishi wake

Badala usikilize anachokuambia unakuwa mbishi kaa nini sijui!!
 
kwa hiyo kwenye maombi siku hizi kuna kuna............

dh sijaja siku nyingi parokiani naona kanuni zimeshabadilishwa
Tena siku nyingi sijafanya maombi na wewe

Hebu fanya fasta uje.....

Wewe hua ni mzuri sana kwenye maombi ya kukesha

Huwa huchoki kabisaaaaaaaa

Hebu njoo bana ......!!!!!!!!!
 
Muone kwanza ...
Ngoja nikaangalie zangu mpira nione jinsi Man City wanavyochezea kichapo leo kutoka kwa Totenham kesho uje ofisini uchukue barua yako !!

Nitamuagiza colleague snowhite anichukulie.
 
Last edited by a moderator:
Tena siku nyingi sijafanya maombi na wewe

Hebu fanya fasta uje.....

Wewe hua ni mzuri sana kwenye maombi ya kukesha

Huwa huchoki kabisaaaaaaaa

Hebu njoo bana ......!!!!!!!!!

yereuwiiiiiiiiii ningekuwa najaua Kisukuma hapa ningeongea

kwa hiyo kumbe tunavyokeshga kwenye mombi huwa wafurahia

leo nimechelewa au nawez kuja hata sa hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom