Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,432
- 2,437
Kwa hivyo hapo tuseme shilingi ya Uganda ndiyo yenye nguvu?Hakika mkuu, mnakuwa rahisi katika soko la dunia na ndicho hata China amekifanya kuzipiku nchi za Ulaya na Marekani hadi walikuwa wanamlalamikia.
Suala hapa ni sisi kuzalisha kwa wingi tunakuwa cheap katika soko la Afrika Mashariki. Mfano mzuri pia Mtanzania akiend Uganda atajikuta bidhaa za Uganda ni bei ndogo kushinda Tanzania. Hii pia inajidhihirisha kwenye change rate pesa yetu ipo juu kidogo kushinda Uganda
Inapambana kwa kuwakimbiza wawekezaji?Kiufupi ni hivi shilingi ya Tanzania kuwa na Thamani ndogo kuliko majirani zetu kuna faida zaidi kwa Tz hasa hichi kipindi ambacho Tz inapambana kuwa mzalishaji mkuu East Africa
Kuna maboga humu nisaidie kuuliza swali hilo aisee maana wanajificha kwenye kichaka cha karangaNdugu yangu naona ulikariri, kwahyo kes kuwa dola 1 hapa ni almost 2300, kwahyo elfu 2300 ina power kuliko dola 1?
Mzee unaongelea thamani gani wakati vitu vingi unategemea ku import? Usichukue hesabu za kiuchumi za china ukazileta Tz. Huku ukitaka kununua kitu una convert pesa yako kwenye pesa ya kigeni, and you wish thamani ya pesa yetu iwe ndogo!! Kama umeshawahi kufanya biashara utaelewa, unauelewa mfumuko wa bei?Ukiwa na shiling elfu kumi Tanzania utanunua vitu vingi lakini ukichukua hiyohiyo elfu kumi ukaenda nayo kenya hautonunua vitu vingi kama ulivyonunua Tz so thamani ya shiling ikiwa ndogo kuna faida saana (hasa kwa nchi zinazozalisha bidhaa nyingi)
Na mimi nikukumbushe 1966 wakati tulipoachana na matumizi ya East Africa Schilling na kila nchi kuanza kutumia fedha zake Shilingi ya Tanzania na Shilingi ya Kenya zilikuwa sawa(1TSh=1KSh) iweje leo iwe mara 20?
Tatizo lilikuwa ni upinzani, sasa hivi tupo katika right trak!
Kumbe mpaka Yuan inazidiwa na Amagaranga ya Rwanda aiseeHapo ni Rwanda tu ndo anatuzidi,hao wengine nao wanatembelea choki.
Eee,Amafaranga ya Rwanda yapo juu.Sema wananchi wa kule wana maisha magumu balaaKumbe mpaka Yuan inazidiwa na Amagaranga ya Rwanda aisee
hizi point zako kaandikie essay dogosababu ni..
1. Good leadership
2. Investment
3. Export is maximum ( manufactured )
4. Good governance with strong diplomats
Yaani umeongea kwa usahihi kabisa wakenya wanaexport rasilimali zetu yaani wanapata fedha ya kigeni kwa mgongo wa ujinga wetu.Kanuni ni very simple, ukiwa na kiwango kizuri cha mauzo ya huduma na bidhaa nje ya nchi na kupata foreign currency ya kutosha especially dollar, pesa yako inakuwa na thamani na nguvu kubwa...
Ina maana thamani ya fedha sio moja ya sababu ya kuwa na uchumi mkubwa? Uhusiano wa hivi vitu viwili ukoje?Mtoa mada nikukumbushe tu kua hela ya japani (japaneeseYen) ina thamani almost sawa na hiyo shilingi ya kenya lakini hiyo haimaanishi uchumi wa japani na Kenya zinakaribiana.
Kwahiyo na bidhaa zinazonunuliwa kwa wingi China kuja TANZANIA na wao China hela yao Ina Thamani ndogo kushinda TANZANIA shilingi?Kama Nchi mbili mnauchumi unaofanana mwenye sarafu yenye thamani ndogo anapata advantantes kwenye Import wakati export inakuwa chache..
This how China does kwenye Issue ya Currency manipulation
Shillings 2500 ya Kenya ni sawa shillings 50000 ya TZ, lakini Chakula cha 2500 Kenya ni 5000 TZS (250KSH) Hapa Tanzania, ama kwa namna nyingine tukiuziana bidhaa sisi tunapata competitive adavantage cause we will sell a lot at cheaper price, wao hawawezi kutuuzia kwa sababu bidhaa zao zile zile zitakuwa ghali.
Sawa sawa hapo ndipo tuliponasa kwenye umeme wa DC,ukiangalia hata Somalia vita ndio kula yao.Exchange rate na thamani ya pesa ni vitu viwili kabisa; exchange rate inategemea sana decimalization ya pesa yenu wakati thamani ya pesa inategemea foreign reserve mlizonazo na uchumi wa nchi yenu.
Kwa Tanzania tulifanya makosa sana miaka 1980 tulipoanza devaluation ya shillingi huku tukipandisha mishahara ya wafanyakazi kila mwaka bila kuangalia productivity. Effect ya process hiyo ilikuwa kupunguza decimalization units za shillingi ya Tanzania mpaka ikafikia hatuhesebu hela kwa centi tena bali tunahesbau kwa elfu elfu elfu. Noti kubwa tuliyokuwa nayo wakati huo ilikuwa Shillingi mia, lakini leo tunazungumzia elfu 10. Process hiyo huwa ni one way, hairudi nyuma; kwa hiyo hata kama tutakuwa na uchumi imara sana duniani leo, bado shilingi haitarudi kuwa ya daladala tena (dola kwa shilingi tano).
Ni kwa sababu Kenya ni nchi Masikini sana. Lakini Tanzania ni nchi Tajiri sana na Tanzania imeingia "Uchu" wa Kati, hivyo hulazimika kutumia Shilingi ya Tanzania nyingi kununua Shilingi chache ya Kenya ππ€£π πJambo moja linalonipa shida kuliko hata kuibiwa kura ni hili la hawa wakenya jirani zetu, hela yao ipo na thamani kubwa sana sana kuliko za kwetu -- tatizo ni nini?
Na kila siku tunajilabu tuna utajiri uliotukuka, naikumbuka ile sentensi ya Mwalimu Nyerere. Watanzania Uchumi mnao...
Tufanye nini ili tuwapite maana tuwe tunashinda kwa mazuri na moja ni hela yetu kuwa na thamani. Saa ingine huwaza lile tarajio la Tanzania kuwepo uchumi wa kati au ndio tumekwisha jaaliwa yaani haiwezi badilika?
Ndugu yangu, thamani 'halisi' humtegemea zaidi muhitaji wa pesa yako, ili akapate 'vile' anavyohitaji yeye kwa wakati huo.Ukiwa na shiling elfu kumi Tanzania utanunua vitu vingi lakini ukichukua hiyohiyo elfu kumi ukaenda nayo kenya hautonunua vitu vingi kama ulivyonunua Tz so thamani ya shiling ikiwa ndogo kuna faida saana (hasa kwa nchi zinazozalisha bidhaa nyingi)
huyo ni jasusi CIA amekuja kutafuta taarifaKenya pia ni shamba la bibi la wazungu
Mzungu anaabudiwa sana kule aweza toka hata Marekani akawa mpiga debe au kondakta wa daladala bila shida akiwa bado raia wa Marekani na bila kuomba kibali cha kazi tofauti na sisi ona mpiga debe na kondakta huyu mzungu toka marekani
Hujaelewa nini, sisi na mataifa mengi tunanunua vitu vingi kutoka China kwa sababu pesa yao ina thamani ndogo kuliko US.Kwahiyo na bidhaa zinazonunuliwa kwa wingi China kuja TANZANIA na wao China hela yao Ina Thamani ndogo kushinda TANZANIA shilingi?
Daah Kuna viazi humu.