Kwanini Fastjet wanazuia usifunge madirisha

Kwanini Fastjet wanazuia usifunge madirisha

Yaani we unalalamika kuhusu kufunga dirisha. Sisi kuna siku ndege ilizimika hewani ikakataa kuwaka ikabidi tushuke wote tuisukume.
 
1. Nadhani viyoyozi vyao ni vibovu sasa ili kuokoa gharama lazima wafungue madirisha ili abiria wapate upepo.
2. Pia, kama kuna mama mja mzito kama akitapika iwe rahisi kwake asiteseke

Na hili suala wewe sio wa kwanza kulalamika, mimi binafsi nilishawaandikia barua kwamba angalau kama ni kufungua madirisha basi yawe machache tofauti na sasa maana ni mara chache kukuta wanawake wenye mimba wamepanda ndege wengi...
D.B ktk ubora wako
 
Kuna siku nilikaa kwenye emergence exit seat wakaanza kunielekeza jinsi ya kufanya iwapo litatokea tatizo nilichofanya ni kuwaomba wanibadilishie seat maana niliona safari nzima sitakuwa comfortable kwa kukabidhiwa jukumu la usalama na uhai wa watu.
Cha msingi kama kuna safety issue ni O.K hakuna haja ya kulazimisha kufunga.
 
Hebu nyie wajuvi wa aviation mtuambie hapa kwanini,hawa jamaa wanazuia,maswali mengine ukiwauliza wanakujibu mkato eti wanataka mwanga,mbona wengine unafunga fresh tu hawamind ,mi nikikaa dirishani sipendi kabisa kuona mawingu,sasa mshamba mie mnanisaidiaje!
Watakuwa na sababu zaod.
 
Duh mi huwa nikipanda domestic jicho huwa lipo chini safari nzima. Labda ndege za international ndo haina haja ya kuangalia chini sbabu hauoni kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom