Naantombe Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,254
- 15,743
Ndo utegemee siku ingine.. Never assume impossibility. Tuna elewa na kufikiri tofautiSikutegemea kukuta koment ya dizaini hii. Nina mashaka makubwa sana na uwelewa wako kijana.[emoji36]
Ndo utegemee siku ingine.. Never assume impossibility. Tuna elewa na kufikiri tofautiSikutegemea kukuta koment ya dizaini hii. Nina mashaka makubwa sana na uwelewa wako kijana.[emoji36]
Makosa ni ya mtoa mada,, mimi sina kosa hapo... Kwani kufungua dirisha maana yake ni kufungua pazia la dirisha???Mkuu hiyo namba 1 hebu jaribu kuona aibu japo kidogo tu! Ndege ifunguliwe madirisha ili hewa iingie ndani??! Kitu kinaenda speed ya 600-700 kph ufungue dirisha?! Mleta mada amekusudia kufungua lile cover ambalo ni kama "Pazia" tu ambalo wewe umefikiri ni kufungua dirisha!
Inaonekana hujawahi kupanda ndege hata siku moja,ila usijali siku ukipanda utajua tu,toka lini dirisha la ndege likafunguliwa?!!!Makosa ni ya mtoa mada,, mimi sina kosa hapo... Kwani kufungua dirisha maana yake ni kufungua pazia la dirisha???
Umewauliza wao mkuuHebu nyie wajuvi wa aviation mtuambie hapa kwanini,hawa jamaa wanazuia,maswali mengine ukiwauliza wanakujibu mkato eti wanataka mwanga,mbona wengine unafunga fresh tu hawamind ,mi nikikaa dirishani sipendi kabisa kuona mawingu,sasa mshamba mie mnanisaidiaje!
Wee Rubi wewe[emoji1]Vaa miwani ya mbao
Nadhani anafanya utani kufurahisha jukwaa. I don't think yuko seriousMkuu hiyo namba 1 hebu jaribu kuona aibu japo kidogo tu! Ndege ifunguliwe madirisha ili hewa iingie ndani??! Kitu kinaenda speed ya 600-700 kph ufungue dirisha?! Mleta mada amekusudia kufungua lile cover ambalo ni kama "Pazia" tu ambalo wewe umefikiri ni kufungua dirisha!
Mkuu, kwani ukifungua kunakuwa wazi kiasi cha kuweza kutoa mkono nje na upepo kupita!? Acha hizo bn1. Nadhani viyoyozi vyao ni vibovu sasa ili kuokoa gharama lazima wafungue madirisha ili abiria wapate upepo.
2. Pia, kama kuna mama mja mzito kama akitapika iwe rahisi kwake asiteseke
Na hili suala wewe sio wa kwanza kulalamika, mimi binafsi nilishawaandikia barua kwamba angalau kama ni kufungua madirisha basi yawe machache tofauti na sasa maana ni mara chache kukuta wanawake wenye mimba wamepanda ndege wengi...
Mkuu jamaa yupo serious,msome tena kwenye comment yake#43 tena anasema alishawaandikia na barua ya kulalamika kua waruhusiwe japo kufungua madirisha machache!!!!Nadhani anafanya utani kufurahisha jukwaa. I don't think yuko serious
Usichukulie serious vitu vingine.. ucheshi saa nyingineMkuu, kwani ukifungua kunakuwa wazi kiasi cha kuweza kutoa mkono nje na upepo kupita!? Acha hizo bn
Nilikuwa natania tu mkuu, usichukulie serious sana.. Ki physics huwezi kufungua dirisha la ndege upepo ukaingia ndani.. ndege itapuputika na kufumuka yote.. nilikuwa natania tuInaonekana hujawahi kupanda ndege hata siku moja,ila usijali siku ukipanda utajua tu,toka lini dirisha la ndege likafunguliwa?!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wabongo bana unadhani abood hiyo uache madirisha waz, aiseee nimevunja mbavu.1. Nadhani viyoyozi vyao ni vibovu sasa ili kuokoa gharama lazima wafungue madirisha ili abiria wapate upepo.
2. Pia, kama kuna mama mja mzito kama akitapika iwe rahisi kwake asiteseke
Na hili suala wewe sio wa kwanza kulalamika, mimi binafsi nilishawaandikia barua kwamba angalau kama ni kufungua madirisha basi yawe machache tofauti na sasa maana ni mara chache kukuta wanawake wenye mimba wamepanda ndege wengi...
Naona baada ya kuulizia huko umekuja kivingine!! teh! teh! Nimekosoma aisee, usijali.Nilikuwa natania tu mkuu, usichukulie serious sana.. Ki physics huwezi kufungua dirisha la ndege upepo ukaingia ndani.. ndege itapuputika na kufumuka yote.. nilikuwa natania tu
Mkuu usijipe credit kwa issue kama hii... amini nachokuambia.. ndege nimepanda ruti nyingi sana na nina uelewa wa ki fiziksi ni kwanini huwezi kufungua kioo cha ndege,... as i said, nimetania tuNaona baada ya kuulizia huko umekuja kivingine!! teh! teh! Nimekosoma aisee, usijali.