Jamaa alikuwa ana overtake tu huyo pengineHata SAA hawaruhusu wakati wa kupaa na kutua,mambo yakiusalama zaidi naona! Kuna siku angani tulipalishana na dege la mizigo kubwa kabisa alafu kwa ukaribu mpk Leo cjaelewa ilikuaje!
Jamaa alikuwa ana overtake tu huyo pengineHata SAA hawaruhusu wakati wa kupaa na kutua,mambo yakiusalama zaidi naona! Kuna siku angani tulipalishana na dege la mizigo kubwa kabisa alafu kwa ukaribu mpk Leo cjaelewa ilikuaje!
Huyu jamaaMkuu hiyo namba 1 hebu jaribu kuona aibu japo kidogo tu! Ndege ifunguliwe madirisha ili hewa iingie ndani??! Kitu kinaenda speed ya 600-700 kph ufungue dirisha?! Mleta mada amekusudia kufungua lile cover ambalo ni kama "Pazia" tu ambalo wewe umefikiri ni kufungua dirisha!
Duh wewe hujielewi. Yaan ac kuwa mbovu ufungue madirisha then iweje. Madirisha ya ndege ni sealed na sound proof. So ukifungua maana yake sio kuingiza upepo1. Nadhani viyoyozi vyao ni vibovu sasa ili kuokoa gharama lazima wafungue madirisha ili abiria wapate upepo.
2. Pia, kama kuna mama mja mzito kama akitapika iwe rahisi kwake asiteseke
Na hili suala wewe sio wa kwanza kulalamika, mimi binafsi nilishawaandikia barua kwamba angalau kama ni kufungua madirisha basi yawe machache tofauti na sasa maana ni mara chache kukuta wanawake wenye mimba wamepanda ndege wengi...
Inazo ila si side mirror unazozijua bali ni cameraOhoooo!..
Hivi ndege haina side mirrors kwa ajili ya dereva kuona nyuma na kukiona chombo chake?!.
Uuuwi mabati yenye kutu, nakumbuka natoka sehemu. Nimepiga picha viwanja vyote nlivyotua. Nimefika tz nikapiga picha visiwa vya zanzibar ile tunafika kutua airport nikaona mabati ya kuzeeka hata sikuwa na ham. Vibarabara utafikiri njia za ngombeMimi nakumbuka flight za usiku ndege ikiwa hewani huwa wanasema tufunge, kwenye landing wengi nikiwamo mimi tunafungua ili kuona nice view kama mabati yenye kutu maeneo ya kipawa!
Haiwezi kufumuka bwana sema vitu yote hurushwa nje kupitia dirishaNilikuwa natania tu mkuu, usichukulie serious sana.. Ki physics huwezi kufungua dirisha la ndege upepo ukaingia ndani.. ndege itapuputika na kufumuka yote.. nilikuwa natania tu
Somewhere in Honolulu/Hawaii I guess. Sio paa lote ila sehemu kubwa ilinyofoka na vitu kadhaa vikapotelea kwa Mungu.Kuna ndege ilishawahi kutua salama ikiwa paa lote limefumuka
Jf hii..? Yani na cruising speed ya Ndege zote mbili bado ukaiona Ndege kubwa ya mizigo mkipishana??? Jaribu kuwaza ilivyo ngumu kusoma hata plate namba ya bus kama mbapishana wote mkiwa na speed ya 80kph, sasa itakuwaje Ndege ambayo mbaweza kuwa above 700kph??? Hapa ni kuandika TU kila MTU aonekane anajua.Hata SAA hawaruhusu wakati wa kupaa na kutua,mambo yakiusalama zaidi naona! Kuna siku angani tulipalishana na dege la mizigo kubwa kabisa alafu kwa ukaribu mpk Leo cjaelewa ilikuaje!
Yes it was in hawaiiSomewhere in Honolulu/Hawaii I guess. Sio paa lote ila sehemu kubwa ilinyofoka na vitu kadhaa vikapotelea kwa Mungu.
Kabla hujaiona hiyo ndege mtakuwa mmeshacrash. Huyu jamaa mwongo kupindukiaJf hii..? Yani na cruising speed ya Ndege zote mbili bado ukaiona Ndege kubwa ya mizigo mkipishana??? Jaribu kuwaza ilivyo ngumu kusoma hata plate namba ya bus kama mbapishana wote mkiwa na speed ya 80kph, sasa itakuwaje Ndege ambayo mbaweza kuwa above 700kph??? Hapa ni kuandika TU kila MTU aonekane anajua.
Mimi sijui mambo ya ndege ila kwa kutazama NatGeo najua ndege zinapishana kwa altitude. Yaani moja inapita 1000ft above/below the other.Jf hii..? Yani na cruising speed ya Ndege zote mbili bado ukaiona Ndege kubwa ya mizigo mkipishana??? Jaribu kuwaza ilivyo ngumu kusoma hata plate namba ya bus kama mbapishana wote mkiwa na speed ya 80kph, sasa itakuwaje Ndege ambayo mbaweza kuwa above 700kph??? Hapa ni kuandika TU kila MTU aonekane anajua.
Naiona ni comment iliyojaa utani,,,,,Sikutegemea kukuta koment ya dizaini hii. Nina mashaka makubwa sana na uwelewa wako kijana.[emoji36]
Kiufupi hiyo hufanyika ili kuimarisha usalama wa anga,. So acha kulalamikia hatua zinazochukuliwa ili wewe/mwenzio mfike salama.1. Nadhani viyoyozi vyao ni vibovu sasa ili kuokoa gharama lazima wafungue madirisha ili abiria wapate upepo.
2. Pia, kama kuna mama mja mzito kama akitapika iwe rahisi kwake asiteseke
Na hili suala wewe sio wa kwanza kulalamika, mimi binafsi nilishawaandikia barua kwamba angalau kama ni kufungua madirisha basi yawe machache tofauti na sasa maana ni mara chache kukuta wanawake wenye mimba wamepanda ndege wengi...
Unafanya utani wewe, hakuna hewa yoyote ya nje inaruhusiwa kuingia ndani ndege ikiwa hewani, mtapukutishwa kama karatasi.Haiwezi kufumuka bwana sema vitu yote hurushwa nje kupitia dirisha