Kwanini Fastjet wanazuia usifunge madirisha

Kwanini Fastjet wanazuia usifunge madirisha

Ohoooo!..
Hivi ndege haina side mirrors kwa ajili ya dereva kuona nyuma na kukiona chombo chake?!.
Sidhani kama unaposema "kufungua dirisha" una maanisha kufungua mpaka hewa ya nje iingie ndani,bali ni kufungua lile "cover" la plastic tu ili usione nje,Hili ni suala la safety precaution au safety procedure,mfano hata kama kuna moto ndio unaanza kwenye engine basi itakua ni rahisi kuuona na kutoka report kwa cabin crew.
 
Hivi madirisha ya ndege yanafunguka? Ngoja nikipanda nijaribu kufungua niweke kishoka!
 
Hivi madirisha ya ndege yanafunguka? Ngoja nikipanda nijaribu kufungua niweke kishoka!
Nafikiri alimaanisha zile window shades
Ambazo zinakuwa katikati ya dirisha,unawez kuzishusha na kuzipandisha
 
Nafikiri alimaanisha zile window shades
Ambazo zinakuwa katikati ya dirisha,unawez kuzishusha na kuzipandisha
Mimi nakumbuka flight za usiku ndege ikiwa hewani huwa wanasema tufunge, kwenye landing wengi nikiwamo mimi tunafungua ili kuona nice view kama mabati yenye kutu maeneo ya kipawa!
 
image.jpeg
image.jpeg

Vaa miwani ya mbao
Kwa "long safari" mashirika ya ndege huwa yanatoa "eye mask" kwa ajili ya waoga wa kuangalia nje na wale wasinziaji,ili wasafiri kwa starehe
 
1. Nadhani viyoyozi vyao ni vibovu sasa ili kuokoa gharama lazima wafungue madirisha ili abiria wapate upepo.
2. Pia, kama kuna mama mja mzito kama akitapika iwe rahisi kwake asiteseke

Na hili suala wewe sio wa kwanza kulalamika, mimi binafsi nilishawaandikia barua kwamba angalau kama ni kufungua madirisha basi yawe machache tofauti na sasa maana ni mara chache kukuta wanawake wenye mimba wamepanda ndege wengi...

Unazungumzia ndege au gari?
 
Mimi nakumbuka flight za usiku ndege ikiwa hewani huwa wanasema tufunge, kwenye landing wengi nikiwamo mimi tunafungua ili kuona nice view kama mabati yenye kutu maeneo ya kipawa!

Kwa ndege za masafa marefu hata ikiwa mchana tu kuna wakati madirisha yanafungwa kwa ajili ya "kutibu" tatizo la kisaikolojia linaloitwa "JET LAG", hii ni shida ya kisaikolojia inayotokana na kusafiri umbali mrefu kutoka magharibi kwenda mashariki au kinyume chake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom