Kama kuna wanawake wana ndevu kama siye wanaume inakuaje wasiwepo wanawake wenye viualaza?
Huu ugonjwa wa wanawake kuota "Tongo" / pu.mbu ndo nausikia leo kwako mkuu.Mbona wako wengi tu na wanavaa wigs....wale wenye ndevu si za kuzaliwa nazo ni za kujitakia kwa sababu ya kujichubua na zile ndevu ni madhara yake pamoja na kuota pum.bu ukeni au makalioni.
Hujatembea ukaona.Kama kuna wanawake wana ndevu kama siye wanaume inakuaje wasiwepo wanawake wenye viualaza?
Huu ugonjwa wa wanawake kuota "Tongo" / pu.mbu ndo nausikia leo kwako mkuu.
au ndo ule uitwa 'puuke disease" yaani Pu.mbu uke.ni.
kama sio huo basi naomba unijuze kwa lugha ya wenzetu unaitwaje ili walau niweze kuusaka nipate kuperuzi na kudadisi kidogo.
Kama kuna wanawake wana ndevu kama siye wanaume inakuaje wasiwepo wanawake wenye viualaza?
duuuh picha zao unazoProfessor Shaba aliishi ocean road na mimi nilikuwa ni jirani yake , Mke wake tulikuwa tukimuita bibi , Bibi alikuwa amesoma sana kama mmewe , bibi pia alikuwa ana kipara kama mme wake , ila kwa sasa hawapo walienda marekani kwa watoto wao na nyumba yao ilivunjwa ndio hapo walipojenga appartments ambazo kwa chini kuna A-Z supermarket
demu akiwa na kiwalata nakua kichwa ANACONDAKama kuna wanawake wana ndevu kama siye wanaume inakuaje wasiwepo wanawake wenye viualaza?