cha ajabu channel nyingi za dstv,hawa star times wanazo. Labda ni hiyo hakimiliki ya kuonyesha world cup tu!
Unallia nini kikla. Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake mbona hulalamiki bia maisha club inauzwa 5000 wakati kitaa ni 2500?? Kama huwezi hamia bongo muvi chanel jiunge library Mia 5 tu au hamia vibanda umiza ukishindwa kabisa uende baa sh 600 tu ya soda unaona mechi zootee
DSTV ni level nyingine kabisa huwezi fananisha na vinga'muzi vingine aisee. Mfano Ukiwa na PVR EXPLORA aisee mkuu utajua nini nakwambia japo ndio hivyo kununua hiyo decoder na kufugiwa ni 1,000,0000 tsh na malipo ya mwezi kwa premium ni 159,000 tsh but uta enjoy sana na features zilizopo humo.
duh milioni? halafu kazini unaenda kuanzia saa moja asb unarudi saa mbili usiku unaangalia saa ngapi? duh kweli wenye nazo watabaki kuwa nazo ...mbura mie ote
Package zao zinalipwa kwa dola ila wao hubadilisha na kuzifanya zilipiwe kwa Tsh na hubadilika kila mwezi kutokana na rate ya sh yetu na kama ukiona mwezi huu imeongezeka kutoka na shilingi kuyumba. Premium package huwa ni $ 78
Kuna topic iliwahi kuwekwa humu juu ya gharama kubwa wanayotoza hawa DSTV kwa package zake. Nafikiri ni kwa kuwa hawana mshindani. Otherwise hizo gharama haziko justified. Kule North Africa na middle East wanatumia Eljazeera Sports siku hizi inaitwa "be in sports" malipo ni dola 12 kwa mwezi na wanaonyesha channel zile zile za mpira na michezo mingine. Kwa nini hapa kwetu iwe zaidi ya dola 70?
Tiba
GTV walikuwa Waingereza na wenzetu huwa wanathamini vtu vyakwao au watu wao kwanza!wezi tu hao maana walipokuwepo gtv walikosa haki ya kuonyesha ligi ya uingereza na jamaa wa gtv walionyesha kwa bei ya chini
duh milioni? halafu kazini unaenda kuanzia saa moja asb unarudi saa mbili usiku unaangalia saa ngapi? duh kweli wenye nazo watabaki kuwa nazo ...mbura mie ote
Milan cable mkoa gani?Mil 10 kabisaa,nafungua biashara yngu ya maana kabisa,eti king'amuzi hehee,millan cable juu,naangalia mechi kwa rah zangu khaaa!
Sio ghali ila wewe huna pesa!
Unajidanganya na ile Mtv na Bet tumia dstv uone kama utakuwa na hamu ya kuangalia tena hizo startimes, yani channel unazozisema wewe hata robo hazifikii ukilinganisha na zile zinazopatikana dstv. Channel nyingi za startimes. Zuku n.k ni za bure ambazo hata ukiwa na zile satelite dish na ukiwa mjanja utazipata zote kuliko kulipishwa kila mwezi wakati channel zenyewe kwenye dish ni free.
mkuu huna watoto na familia!?
cha ajabu channel nyingi za dstv,hawa star times wanazo. Labda ni hiyo hakimiliki ya kuonyesha world cup tu!