Vp alikuwa jizi huyuMasikini dotto bora ajikalie kimya tu kwenye hili wasije kumkumbusha vile vipigo vya wananchi baada ya wizi wa simu
Nasubiria jibuVp alikuwa jizi huyu
engineer ,dhamana utakuja kuniwekea nitiririke maana sasa hivi kunifunga hashindwiNasubiria jibu
Alikuwaga teja, mpiga debe na kibaka wa kuwachomolea watu fedha ile aende chimbo akapone akakamatwaga akafungwa .Vp alikuwa jizi huyu
Duh! Kwahiyo anavyosema waliwahi kumpiga mpaka na nyanya sokoni kumbe ilikua ni kweli?Alikuwaga teja, mpiga debe na kibaka wa kuwachomolea watu fedha ile aende chimbo akapone akakamatwaga akafungwa .
Akajatoka jela akabadilika kawa kama alivyo
AiseeAlikuwaga teja, mpiga debe na kibaka wa kuwachomolea watu fedha ile aende chimbo akapone akakamatwaga akafungwa .
Akajatoka jela akabadilika kawa kama alivyo
Bafo ya gwajiboy ni ya president sio huyo ponjoronasubiri ponjoro amjibu gwajima nione hyo battle.
hawezi..ingawa nae sio mwepesi kama wanavyo mchukulia…nasubiri ponjoro amjibu gwajima nione hyo battle.
Huyo dotto answer upeo,akili gani kumjibu mtu kama gwajimaMasikini dotto bora ajikalie kimya tu kwenye hili wasije kumkumbusha vile vipigo vya wananchi baada ya wizi wa simu
kuna wakati fulani alitakaga kuiba side mirror...ya gariDuh! Kwahiyo anavyosema waliwahi kumpiga mpaka na nyanya sokoni kumbe ilikua ni kweli?
Mzee wa Kino watu wanachekesha kinyama.. 😄... sasa Dotto ataongea nini kwenye hii ishu? Huyu Dotto ni mtu poa anayejipatia kipato kihalali wala sio mtu wa matamko ya kisiasa kama Steve.Huyo dotto answer upeo,akili gani kumjibu mtu kama gwajima
Yeye kazi yake kusifia,udananda apewe hela
Kwa hyo unataka kusema hyo dotto ndy think tank huko ccm
Ova
Kumbe unafahamu magenge yanayotumika kujifichia ccm.Mzee wa Kino watu wanachekesha kinyama.. 😄... sasa Dotto ataongea nini kwenye hii ishu? Huyu Dotto ni mtu poa anayejipatia kipato kihalali wala sio mtu wa matamko ya kisiasa kama Steve.
Masikini dotto bora ajikalie kimya tu kwenye hili wasije kumkumbusha vile vipigo vya wananchi baada ya wizi wa simu
Dotto magari na Gwajima wanaendanaje?Siku dotto magari akishupaza bichwa lake basi ukweli wa wezi simu kinondoni,madawa,utapeli utajulikana.
Msiwe mnajisahau ndio maana bill nasi kawa mkimya anafahamu shukuru Nandy