Kwanini Diaspora wengi hawana watoto?

Leverage

JF-Expert Member
Jan 25, 2021
2,125
3,130
Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.

Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.

Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?

1. Ugumu wa maisha?

2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?

Karibuni diaspora.
 
Huyo jamaa wa Urusi ni ndugu kabisa na mzee yaani mimi namwita baba mdogo.
Hajazaa mtoto hadi leo hii
Yategemea mtu na mtu na mazingira.

Wasichana wengi wa kirusi wanawapenda waafrika.

Ila wanaume wao ndio tatizo khasa wale "skin heads"

Vivyo hivyo kwa wasichana wa Poland wanaume wao hawawapendi kabisa waafrika na kuna tusi lao hutumia husema "Kulva" wakimwona mtu mweusi.

Mpeleke bar baba yako mdogo na akipata mbili tatu ataongea alipatwa na nini huko.
 
Wazungu wengi hawapendi kuzaa,Nina jamaangu alikuwa na mchumba mzungu alimwambia hatazaaa,
 
Hapo kwa Lebebez nadhani ana mtoto kama si watoto na alishawahi kuwa na mke.
 
Vipi kuhusu black Americans women?
Look, wanawake wote duniani wapo sawa inategemea wataka nini kutoka kwao.

Hivyo siwezi kujaji sana ila nao huwapenda Waafrika kutokana na shauku ya kutaka kufahamu zaidi kuhusu Afrika.

Pia, uwe umesoma, una kipato kizuri, na makazi ya maana haitakuwa shida.

Hapa sizungumzii wavuta bangi na wauza madawa ya kulevya maana atakulengesha ufungwe.
 
Mtoa mada umeshindwa kujua wengi wanao watoto hata kama hana mke au mume lakini wengi wao wana watoto.
Wengi wanarudi nyumbani baada ya watoto kumaliza masomo wameanza kujitegemea
Watoto hao wengi hawana mvuto wa kuja kuishi bongo. Mtoto aliyezaliwa 1st world country kumshawishi kuja kuishi bongo ni vigumu sana.
Wengi wapo ugenini kujenga maisha ya watoto wao muda ukifika wa wao kurejea nyumbani wanarudi huku pension iko set up anaendelea na maisha bongo pesa inaingia kila mwezi.
 
Back
Top Bottom