Jagermaster
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 654
- 321
Tanzania hatuziki mtu aliyehai
Nikifungua a/c ktk FB nikatengeneza ID jina Daud Balali, ktk uhalisia nitakuwa kweli Daud Balali?
You can fool people for sometime, but you can not fool people all the time.
Hajazikwa kwakuwa
bado hajafa ile
ilikuwa funika kombe
mwanaharam apite
What goes areound, come around...
Probably, it is pay time..
Angekuwa tz uwezo wa kujizushia amekufa ni simple but in USA that's impossible, wako makini ktk mambo yao, tuache stories the guy is dead. Kwani tweeting si hata mimi naweza tumia hiyo id yake? What's the proof kwamba ni yeye? Tweeting is not fact!
Inawezekana Kama kweli amekufa alikuwa ameukana uraia wa Tanzania. Pili labda aliacha wosia kwamba akifa asizikwe Tanzania ni mambo binafsi. Alikaa huko USA kwa miaka mingi na alikuwa na nyumba yake huko. Tumwache apumzike. Tupambane na Ndullu afanye kazi kwa tija yaliyopita SI ndwele tugange yajayo!:A S 465:
Nikisoma habari za Balali nabaki kumkumbuka Mwalimu wangu Prof.Juan Mwaikusa. Rest In Peace Mwl.
Robert Nesta Marley!
hawa watoto waliovamia kwa kasi humu jf wanadanganyika kirahisi sana mzee,hii argument ya face book ya balali ilishawahi kuletwa humu na mtoto mmoja kwenye ile thread ya tule mzushi utaki unaacha,tukajaribu kuwaelewesha kwamba fb page anaweza fungua mtu yeyote kwa jina la marehemu akaanza kuwachezesha mchakamchaka wenye upeo mdogo kwamba marehemu kafufuka na mwingine atakwambia marehemu kuna mtu kamuona akishop kwenye nchi ambayo anajua wewe huwezi kwenda,leo hii mtu kama anabisha ajaribu kufungua fb page kwa jina la baba yake au ndugu yake yeyote aliekufa halafu aanze kueneza taarifa kwamba mzee nachat nae kwenye fb uone kama hakuna watakaokuamini,watu wana stresses za maisha kuwavuruga ni very easy,all in all Balali is a dead person na wala hatakuja kuonekana tena kama sokoine na wengine waliokufa,kuna watu walikua wanadai sokoine huwa anaonekana ofisi ya waziri mkuu dodoma!
tehtehteh hii ni balaaLabda walihisi wakiileta nchini itafikia kwanza keko halafu ikaagiwe mahakamani
Hivi itakuwaje siku Balali atakapokufa kiukweli ukweli?