Kwanini Balali hakuzikwa Tanzania?

Kwanini Balali hakuzikwa Tanzania?

Status
Not open for further replies.
jaribuni kutuma pm kwa memba mmoja humu anatumiaID ya de'levis...muulize juu ya daudi balali huyo anajua kila kitu...
 
[h=1]Daudi Balali[/h][h=2]@daudibalali[/h]Tweeting From Jersey Island For Tanzanians Around The World. Nitasema Kweli Daima. (Secrets That Will Break A Nation).
Jersey Island



WANAJF;
Mtaniwia radhi kwa kuposti huu wimbo kwenye Jukwaa la kisiasa lkn umenivutia sana kwa ujumbe ambao ukiusikiliza utagundua kwamba sijafanya makosa kuipost hapa. Huu wimbo nimeutoa kwenye tweeter account ya jamaa anayesema kwamba yeye ni Daudi Balali, na akizidi kusisitiza kwamba hakufa na kama kuna mtu ana ushaidi wa kufa kwake na autoe hadharani (kaburi lake na hata picha za kwenye mazishi) . Na anasisitiza kwamba ana work plan yake anayoifuata na muda ikifika atatoa kila kitu na watanzania watabaki wamechanganyikiwa. Na anazidi kusisitiza kwamba hata kama atakufa kabla hajatoa hizo documents muhimu, lkn hizo documents ni lazima zitawafikia tu watanzania. Na katika tweeter yake anawataja watu sita wenye ukweli huo kama Edward Lowassa, Kikwete, Mkapa, Rostam, Chande na Chenge.

Sasa Watanzania wenzangu, hasa baada ya kusoma jinsi anavyowajibu watu kwenye tweeter nimejikuta nikijiuliza swali moja muhimu sana, kwamba Majuzi tu tumesikia kwamba Rostam Aziz anataka kufunga akaunti zake kwenye Benki za hapa Tanzania na hizo pesa zake zihamishiwe kwenye Bank za Malaysia, sasa hili linaweza kuwa na uhusiano na kurejea kwa Balali? kwani hata wao inaonekana anawatumia ujumbe kwamba amechoka kutangatanga nje anataka kurejea Tanzania na kila siku inapopita yeye anapunguza kwenye timeplan yake. Hayo ni hisia zangu tu hasa baada ya kuona mambo yanayoendelea hapa Tanzania.

Wimbo wenyewe aliosema Balali kwamba sisi ni watu wa kitu kidogo, fuata link hii hapa.

Nchi Ya Kitu Kidogo - YouTube
 
tuwekee hiyo tweeter account yake hapa nasi tuone uyasemayo kama ni kweli. mimi bado siamini kama hajafa.
 
Safi sana balali kama vip njoo mwezi huu uwaumbue hao jamaa,pia inabidi ufanye umafia kweli maana sisiemu kupitia balozi ukiomba viza tu ya kuja tz watampigia simu jeikei then atawainfo inerpol wakukamate kabla haujapanda hata pipa jitahidi ufanye umafia ili wa kuunga ndege then hita chombo kimoja cha habari record clip nao warushe kwenye kipindi maalumu itakua umewaumbua sana hao watu waliokupiga wanted TZ.
 
tuwekee hiyo tweeter account yake hapa nasi tuone uyasemayo kama ni kweli. mimi bado siamini kama hajafa.

Angalia kwenye post yangu ya kwanza uone tweeter address yake, then nenda huko ukaone mambo.
 
Waulize watu wa usalama wa Taifa kama kweli balali alikufa au lah!!! inasemekana amewekwa kisiwa fulani kwenye bonge la Makazi amalizie maisha yake humo huku akiendelea kukaa na siri za mauaji makubwa ya Taifa letu Kwa maslahi ya watu wasiozidi hata 100. Ipo siku nitajichukulia sheria mikononi walah tena


Balali hakufa ..ila ilibidi afichwe ili kumuokoa rais na fedheha.....na kuulinda urais wake...ikumbukwe kuwa mtu pekee mwenye ushahidi wa kumtia rais KIkwete,lowassa,rostam....mama meghji,nnoni,...jeetu Patel and all the EPA cronies ni balali....hata Kama angechagua kubaki nyumbani ...ingempasa AFE...ili kulinda maslahi ya urais.........

Tusubirini KIkwete akiondoka madakani na especially Kama Chadema watashinda....balali ataibuka na kuja kuwa shahidi namba moja wa jamuhuri kwenye mashtaka dhidi ya wezi wa EPA wa ukweli ...KIkwete na wenzake......

Siri zote za EPA Ameshawapatia Chadema ambako yeye Balali ni moja wa wanachama waazilishi wa Chadema.......na alikuwa Akifanya kazi Yake vizuri tu ...Hadi utumishi wake ulipoingia doa la mtego wa Kutafuta pesa za kampeni 2005....through EPA .
 
ulishasikia mmarekani anakufa kizembezembe hata kama yeye kaua?
Sembuse kuiba vijisent vyenu hivyo vya bot?????
Huyo ***** si alikua mmarekani?
 
Siri zote za EPA Ameshawapatia Chadema ambako yeye Balali ni moja wa wanachama waazilishi wa Chadema.......na alikuwa Akifanya kazi Yake vizuri tu ...Hadi utumishi wake ulipoingia doa la mtego wa Kutafuta pesa za kampeni 2005....through EPA .
ndo haYO TENa
 
Angalia kwenye post yangu ya kwanza uone tweeter address yake, then nenda huko ukaone mambo.

nmeshamfollow tayari. nataka awe ananipa mabreaking news. hehehe..!!
 
kwani BALALI unazani amekufa basi ule ulikuwa uzushi ili mambo ya uchotaji wa fedha benki kuu yaani EPA usibumbumbuluke.Ingekuwa kafa kweli mbona ndugu zake walikataliwa kwenda kwenye mazishi.
 
Alishafanyiwa plastic surgery siku nyingi saa hizi amefichwa kwenye jumba la kifahari anakula bata(kama lile la kaka wa rais kwenye series ya 24 walisema ameuliwa na Lincoln kaka yake scolfield ila later wakaja kumshtukia kafichwa) ndivyo itakavyokuja tokea kwa balali ipo siku
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom