Kwanini baadhi ya wilaya michango ya vyumba vya madarasa inaendelea?

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,823
12,278
Wote tunafahamu mwaka jana Rais Samia alipata mkopo wa civid-19 wa takribani Shilingi trilioni 1.5, fedha ambazo zimetumika kujenga vyumba vya madarasa na Hospitali.

Watanzania tukaaminishwa kuwa sasa changamoto ya madarasa na madawati imekuwa historia. Cha kushangaza kumeibuka tena wimbi la watendaji wa kata kuanza kuchangisha fedha za kujenga vyumba vya madarasa katika wilaya nyingi.

Je, wilaya hizo hazikupeleka mahitaji yao ya kutosha kukumilisha ujenzi huo? Na kama ni hivyo je watendaji wa wilaya hizo hawastahili kuadhibiwa kwa kuhujumu mradi huu?

Hii sasa ni kero, wananchi tumechoshwa na michango kila kukicha!
 
Moja ya Wilaya hizo ni Nyamagana Mwanza Kata ya Butimba, Mtendaji wa Kata hiyo kaamua kujipa madaraka makubwa ya kuchangisha michango ya ujenzi wa Shule ya Sekondari, mbaya zaidi amekuwa akitoa vitisho kwa wale watakaokaidi kuchangia, tumebaki tukijiuliza huo mkopo wa COVID-19 umefanya kazi gani au wamezipiga hizo pesa sasa wanaytulazimisha sisi wananchi wa hali ya chini kuchanga pesa za ujenzi wa shule ili kuficha aibu?
 
Changia madarasa
Watoto wako wasomee wapi sasa?
Changia madarasa basi
 
Kwanini unapenda vitu vya buree mkuu
Leo ni siku ya wanawake katika mambo yote bado na wao pia wanasisitiza kuwa hawataki vitu vya bure
Mkuu lipia michango ya kujenga madarasa watoto wako wasome wasiwe mbulula
 
Hivi ni kwa nini walimu wengi hamna akili?
Kwanini unapenda vitu vya buree mkuu
Leo ni siku ya wanawake katika mambo yote bado na wao pia wanasisitiza kuwa hawataki vitu vya bure
Mkuu lipia michango ya kujenga madarasa watoto wako wasome wasiwe mbulula
 
Wote tunafahamu mwaka jana Rais Samia alipata mkopo wa civid-19 wa takribani Shilingi trilioni 1.5, fedha ambazo zimetumika kujenga vyumba vya madarasa na Hospitali.

Watanzania tukaaminishwa kuwa sasa changamoto ya madarasa na madawati imekuwa historia. Cha kushangaza kumeibuka tena wimbi la watendaji wa kata kuanza kuchangisha fedha za kujenga vyumba vya madarasa katika wilaya nyingi.

Je, wilaya hizo hazikupeleka mahitaji yao ya kutosha kukumilisha ujenzi huo? Na kama ni hivyo je watendaji wa wilaya hizo hawastahili kuadhibiwa kwa kuhujumu mradi huu?

Hii sasa ni kero, wananchi tumechoshwa na michango kila kukicha!
Mbona huoni kero ya kuzaa? acheni kuzaa muache kuchangia
 
Kwanini unapenda vitu vya buree mkuu
Leo ni siku ya wanawake katika mambo yote bado na wao pia wanasisitiza kuwa hawataki vitu vya bure
Mkuu lipia michango ya kujenga madarasa watoto wako wasome wasiwe mbulula
Hujajibu swali, kwa nini walimu wengi hamna akili?
 
Mkuu changia, nchi inajengwa na wenye nyoyo na kuliwa na wenye meno.
 
Moja ya Wilaya hizo ni Nyamagana Mwanza Kata ya Butimba, Mtendaji wa Kata hiyo kaamua kujipa madaraka makubwa ya kuchangisha michango ya ujenzi wa Shule ya Sekondari, mbaya zaidi amekuwa akitoa vitisho kwa wale watakaokaidi kuchangia, tumebaki tukijiuliza huo mkopo wa COVID-19 umefanya kazi gani au wamezipiga hizo pesa sasa wanaytulazimisha sisi wananchi wa hali ya chini kuchanga pesa za ujenzi wa shule ili kuficha aibu?
Watendaji hao wanataka kuficha uzembe wao wa kutopeleka mahitaji kamili ya maeneo yao kwa upumbavu wao.
 
Kwanini unapenda vitu vya buree mkuu
Leo ni siku ya wanawake katika mambo yote bado na wao pia wanasisitiza kuwa hawataki vitu vya bure
Mkuu lipia michango ya kujenga madarasa watoto wako wasome wasiwe mbulula
Inaelekea huna tin number na wala hulipi kodi!
 
Wote tunafahamu mwaka jana Rais Samia alipata mkopo wa civid-19 wa takribani Shilingi trilioni 1.5, fedha ambazo zimetumika kujenga vyumba vya madarasa na Hospitali.

Watanzania tukaaminishwa kuwa sasa changamoto ya madarasa na madawati imekuwa historia. Cha kushangaza kumeibuka tena wimbi la watendaji wa kata kuanza kuchangisha fedha za kujenga vyumba vya madarasa katika wilaya nyingi.

Je, wilaya hizo hazikupeleka mahitaji yao ya kutosha kukumilisha ujenzi huo? Na kama ni hivyo je watendaji wa wilaya hizo hawastahili kuadhibiwa kwa kuhujumu mradi huu?

Hii sasa ni kero, wananchi tumechoshwa na michango kila kukicha!
Hii nchi ni ngumu sana!!yaani kila kitu nchi hii kimepanda bei yapata mwaka sasa, na viongozi wamelikaa kimya tu kama vile hakuna kilichotokea, leo eti ndio wanaibuka na kusema eti vita vya UKRAINE, ndio vimesababisha vitu kupanda(tayari wameshapata chaka).na wananchi wataridhika kwa sababu hiyo!!!!
 
Back
Top Bottom