Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nifahamisheni; Britney Spear aliwahi kupigwa picha akiwa hajavaa chupi, au ni celebrity gani yule?
AD raha kutokuvaa chupi?
Hebu nifahamisheni; Britney Spear aliwahi kupigwa picha akiwa hajavaa chupi, au ni celebrity gani yule?
spider,unadhani hiyo picha ni sahihi kuiweka hapa?
imagine mie na ki uncle chako kinanidandia dandia wkt nasoma thread yako,si katapofuka macho bila hatia?
Mgeni siku ya kwanza, mpe mchele na nanihii.
Jamani Superman kaja hapa siku ya kwanza tumemnyima mchele na nanihii, matokeo yake kakimbia. Tuombe Mungu arudi tena kutuchangamsha.
spider,unadhani hiyo picha ni sahihi kuiweka hapa?
imagine mie na ki uncle chako kinanidandia dandia wkt nasoma thread yako,si katapofuka macho bila hatia?
Na mi si kawaida yangu kuingia hapa ila nimeona niwape angalizo moja Ni hivi jamani kwani hamuoni joto lilivyo dar na umeme wenyewe wa mgao? sasa kipupwe atakipata wapi huyo dada? Alikuwa anatafuta ubaridi jama!
Na mi si kawaida yangu kuingia hapa ila nimeona niwape angalizo moja Ni hivi jamani kwani hamuoni joto lilivyo dar na umeme wenyewe wa mgao? sasa kipupwe atakipata wapi huyo dada? Alikuwa anatafuta ubaridi jama!
ikishahamishwa ntakosa uhondo coz sina visa ya kuingilia huko ahera but no prob.Point taken. Ndo shida ya hili jukwaa lenu.
Mods naomba muihamishie kule kwa wakubwa please.
There are currently 23 users browsing this thread. (12 members and 11 guests)
ikishahamishwa ntakosa uhondo coz sina visa ya kuingilia huko ahera but no prob.
haya