Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 91,914
- 112,286
mmhhh hiyo inanipa mix thoughts haahha lol
saita garma ??
kwa nini wapata mixed thoughts mrembo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmhhh hiyo inanipa mix thoughts haahha lol
saita garma ??
Ngoja nilale maana naona Jf ina hatarisha uhai wa ndoa yangu.
Ngoja nilale maana naona Jf ina hatarisha uhai wa ndoa yangu.
kwa nini wapata mixed thoughts mrembo?
is not a big deal ...dont worry bwt it ..
mmmhh we hujaniambia unajirusha mitaa ipi leo...
usijali nitakuwa na underwear ahahah lol
Sambouca wana specials za Martinis leo.....nikupitie?
Ila unaweza kukimbia mchakamchaka chinja?
mmmhh afadhali hata unipitie ...... tukazishughulikie hizo Martinis....
mmmhhh we NN wewe na hichi kiatu we kweli unataka mi niende mchaka mchaka mmhh
mmmhh tutaita taxi....
usilete ile BMW .... kwa sababu hatutaweza endesha baada ya shughulu takatifu lol
mmmmhhhh siunakumbuka tulienda shopping woteUsiwe na shaka mrembo....Bimma ntaliacha kwenye garage....
Umevaa zile stilleto nyekundu? Hivi huwa ni za inches ngapi vile?
mmmmhhhh siunakumbuka tulienda shopping wote
ukachagua hivi.....lol
My kinda gal....:smiling:
ound:Majungu hayo leta picha hapa ndo tujadili mada hii!
Wana Forum;
Mniwie radhi kwani si kawaida yangu kutembelea jukwaa hili la wapwa na mabinamu lakini leo imenilazimu . . . .
Ashakum si matusi . . . Nikiwa ofisini katika kazi zangu za kawaida kuna dada moja ambaye hupendelea sana kuvaa suruali na zinamkaa vilivyo. Hata hivyo majuzi alivaa sketi ambayo pia ilimkaa vema. Bahati mbaya wakati naingia ofisini na bila kudhamiria nilimwona amekaa mkao ambao "mambo yote yalikuwa hadharani". Naam, kwa hakika hakuwa amevaa chupi. Nilikausha na kujifanya kama vile sijamwona na yeye nadhani alijishtukia hivyo akakaa vema.
Jambo hili lilinifanya nijiulize maswali mengi na hasa ni kwa nini hakuvaa chupi lakini sikupata jibu na hivyo kuamua kulileta hapa jamvini:
Je, kuna baadhi ya Wanawake hawavai chupi? Na kama ni hivyo, ni kwa nini?
Wana Forum;
Mniwie radhi kwani si kawaida yangu kutembelea jukwaa hili la wapwa na mabinamu lakini leo imenilazimu . . . .
Ashakum si matusi . . . Nikiwa ofisini katika kazi zangu za kawaida kuna dada moja ambaye hupendelea sana kuvaa suruali na zinamkaa vilivyo. Hata hivyo majuzi alivaa sketi ambayo pia ilimkaa vema. Bahati mbaya wakati naingia ofisini na bila kudhamiria nilimwona amekaa mkao ambao "mambo yote yalikuwa hadharani". Naam, kwa hakika hakuwa amevaa chupi. Nilikausha na kujifanya kama vile sijamwona na yeye nadhani alijishtukia hivyo akakaa vema.
Jambo hili lilinifanya nijiulize maswali mengi na hasa ni kwa nini hakuvaa chupi lakini sikupata jibu na hivyo kuamua kulileta hapa jamvini:
Je, kuna baadhi ya Wanawake hawavai chupi? Na kama ni hivyo, ni kwa nini?
Nadhani wanawake wengi sasa hawataki kuva chupi kwa sababu labda ya hali ya hewa na maungo yalivyo,, ila lazima awe na sababu specific ila kweli uliona kuwa hakuvaa chupi???
kule ni ndani sana kaka kweli uliona weye?