Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nadhani ni joto la Dar ndio itakuwa sababu...
kiafya nadhani tunatakiwa kupitisha hewa huko...
kuavoid growth of bacteria...
either uvae chupi nyepesi,ama usivae kabisaa..kny sehemu za joto!
Dah! Sidhani kama kuna mwanamke ambaye anaweza kwenda kazini pasipo kuvaa chupi/skin tight n'k maana mwanamke daima kutokana na maumbile yao uwa kuna maji maji ambayo uwa yanatoka ukeni, kitendo hicho uminyima mwanamke uhuru na hivyo ulazimika kuvaa chupi au kuweka kitu ambacho kitafyonza unyevu nyevu wowote utakao toka ukeni. Hivyo hasipo vaa chupi na kuvaa skirt tu kuna uwezekano akajichafua.
Hili la G-String sina tatizo nalo hata mimi. napenda tu kusikia shuhuda kama je kuna baadhi kweli hawavai kabisa na kwa nini?
Mama Big kashatupa jibu hapa https://www.jamiiforums.com/mahusia...u-anapenda-kunusa-chupi-yangu-niliitumia.html
sababu ambazo ninaweza fikiria ni
1. she feel comfatable without them
2. she feels more free.. & sexy....
3.Draws attention (guys attention0
4. medical reasons i heard is better for your vaginal health helps to prevent yeast infections .....
Haa haaa unanikumbusha Mgombea moja miaka ya nyuma wakati wa mkutano wa hadhara alitoa handkerchief ajifute jasho, kumbe ametoa chupi ya nyumba ndogo aliyo confuse kuweka mfukoni akidhani ni leso au kwa sababu nyingine.
Sasa naanza kuelewa. i wish ningekuwa na guts ningemuuliza.
Duh! Hili jukwaa lina mambo!
Haa haaa unanikumbusha Mgombea moja miaka ya nyuma wakati wa mkutano wa hadhara alitoa handkerchief ajifute jasho, kumbe ametoa chupi ya nyumba ndogo aliyo confuse kuweka mfukoni akidhani ni leso au kwa sababu nyingine.
Mazeeee . . . . Najuuuutaaaaa kujileta huku. Mbona nitakoma?
Sililiza ZMP, shemeji yenu huwa anatembelea huku, msije mkaniletea balaa
Mazeeee . . . . Najuuuutaaaaa kujileta huku. Mbona nitakoma?
Sililiza ZMP, shemeji yenu huwa anatembelea huku, msije mkaniletea balaa
nadhani ni joto la Dar ndio itakuwa sababu...
kiafya nadhani tunatakiwa kupitisha hewa huko...
kuavoid growth of bacteria...
either uvae chupi nyepesi,ama usivae kabisaa..kny sehemu za joto!