Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha pole,,,ila nahisi huyo dada yuko mawindoni,kuna mtu anamtega hapo ofisini kwenu..nachelea kusema ni wewe...mungu akuongoze ushinde majaribu...lol
Hhaha hahha superman nasikia aliponyanyua ulikimbilia kukinusa na kukalia hicho kiti lol. Na nyie wanaume macho yenu khaaaaaaaaaa
Sasa kwa kesi hii unahisi kwa nini hakuvaa walau hata G-String?
mmmmhhh mwaya hata mi nampa pole sana kama anawindwa kiasi hicho...
mmmmhhh mwaya hata mi nampa pole sana kama anawindwa kiasi hicho...
Jamani MR, mimi wala sikudhamiria kuiona ndo kwanza nilikuwa naingia ofisini.
Kama vipi vipi, basi mimi namwomba Mods aifunge hii thread! Khaaaa! Nikanuse kiti! Over my dead body!
watu wana winda bana we acha.....
Jamani MR, mimi wala sikudhamiria kuiona ndo kwanza nilikuwa naingia ofisini.
Kama vipi vipi, basi mimi namwomba Mods aifunge hii thread! Khaaaa! Nikanuse kiti! Over my dead body!
Pole mwaya just tell us pink or red
mmmh acha tu,labda ameshatumia njia zote kumuwinda...dada wa watu kawa desperate,kaona ku'flash' mambo ndio solusheni....:teeth::teeth::teeth:
Sina uhakika, maana wala sijawahi kumfikiria . . . Ni kazi kazi tu.
Duh! Mbona nyie sijui ndo wapwa, sijui binamu mnaniweke katika wakati mgumu. Sasa pink and red ndo nini?
Duh! Mbona nyie sijui ndo wapwa, sijui binamu mnaniweke katika wakati mgumu. Sasa pink and red ndo nini?
Duh! Mbona nyie sijui ndo wapwa, sijui binamu mnaniweke katika wakati mgumu. Sasa pink and red ndo nini?