babyclassic
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 227
- 39
Mmmmmh napita tyuuu
sasa mtu nywere tu ni laki na ishirini elfu alafu anakaa nazo siku 5,kila kona ya mwili wake gharama sasa ukimuoa huyo utashindwa hata kujenga banda la kuku
Hakuna lolote, mwanamke wa kuoa lazima awe mzuri. tatizo wanaume wasiojiamini wanaogopa wanawake wazuri kwa kuwa wanawavutia wanaume kwa kiasi kikubwa sasa kama mwanamke kama hana msimamo ni mtihani kwelikweli.
Uoga wao tu...
Habari zenu wanajamii forum,
Kuna jambo ambalo nalishanagaa kidogo japo sina uhakika asilimia 100 but kwa utafiti nilikokafanya kidogo tu nimegundua wale wanawake wazuri na wenye sura na muonekano mzuri wanatafuta sana watu wa kuwaoa lakini watu wote wanawakimbia, sijui ni kwanini na mara nyingi sasa hivi wale wa kina dada wenye muonekana wa kawaida kisura ndio wanaolewa.
Ili kulithibitisha hilo kuna dada mmoja mzuri sana aliniambia anataka mtu wa kumuona ila kila mwanaume anasema hawezi kuoa presha sasa sijui wanaume wenzangu kunani ni kweli uzuri wao unawatisha au kunanini nyuma ya pazia jamani wengi wanataka kuolewa lakini wanaume wanataka kuwatumia tu kuwaacha.
Jamani tujadili kuhusu hili
Ukioa mwanamke mzuri ni sawa na una share na washkaji tu! kwa mtu mwenye akili hawezi kuoa mtu kama huyu labla 24hrs upo nae mguu kwa mguu!
![]()
Kuna dada mmoja mzuri kinoma mkuu, nilidumu naye mwezi mmoja tu...sasa mtu nywere tu ni laki na ishirini elfu alafu anakaa nazo siku 5,kila kona ya mwili wake gharama sasa ukimuoa huyo utashindwa hata kujenga banda la kuku
Ndoa hazina tofauti sana na ajira
hao wanawake wazuri wanaosema wana shida ya kuolewa utakuta hawana shida ya sex partner kabisa
kuna watu wakiwa beep tu wanawafuata for sex....but wakihitaji ndoa hawapati
jaribu kufikiria una kampuni
unahitaji kuajiri.....utaajiri mwenye cv ya nguvu?
au utaajiri kwanza mwenye shida ya hiyo kazi ingawa cv sio ya nguvu
ili umlipe kidogo na awe loyal na kampuni?
kumbuka ukiajiri mwenye CV kali anytime anaweza ondoka akiona haridhiki
Habari zenu wanajamii forum,
Kuna jambo ambalo nalishanagaa kidogo japo sina uhakika asilimia 100 but kwa utafiti nilikokafanya kidogo tu nimegundua wale wanawake wazuri na wenye sura na muonekano mzuri wanatafuta sana watu wa kuwaoa lakini watu wote wanawakimbia, sijui ni kwanini na mara nyingi sasa hivi wale wa kina dada wenye muonekana wa kawaida kisura ndio wanaolewa.
Ili kulithibitisha hilo kuna dada mmoja mzuri sana aliniambia anataka mtu wa kumuona ila kila mwanaume anasema hawezi kuoa presha sasa sijui wanaume wenzangu kunani ni kweli uzuri wao unawatisha au kunanini nyuma ya pazia jamani wengi wanataka kuolewa lakini wanaume wanataka kuwatumia tu kuwaacha.
Jamani tujadili kuhusu hili