Kwanini baadhi ya wanaume hawaoi wadada wazuri?

Kwanini baadhi ya wanaume hawaoi wadada wazuri?

Kupitia uu Uzi nimeweza kutambua ni jinsi gani wanaume hawajiamini kwenye mahusiano yao. Jiamini nyie wanaume sio unaoa demu sura mbovu then unakua unafukizia michepuko mlioa wa nini sasa?


Tatizo sio kujiamini au kutokujiamini. Wapo wanawake ambao kweli wakipata sifa toka kwa wanaume kadhaa juu ya uzuri wao, huvimba vichwa sana. Hili linawafanya kuona kuwa hata hii relationship ikifeli kuna yule na yule wanawataka..kifupi wapo sokoni mda wote.

Hili linawafanya kwanza wawe waruwaru, they can't settle with one man, lakini pia kwa sababu ya sifa wanazopewa mtaani kukuacha na kwenda kwa mwingine ni kiti kidogo sana....lakini pia they're too materialistic ili kuweka zile standards zao.

Wapo wadada wazuri sana na wana heshima na value ya uzuri wao wanaitambua lakini ni wachache mno..
 
Tatizo sio kujiamini au kutokujiamini. Wapo wanawake ambao kweli wakipata sifa toka kwa wanaume kadhaa juu ya uzuri wao, huvimba vichwa sana. Hili linawafanya kuona kuwa hata hii relationship ikifeli kuna yule na yule wanawataka..kifupi wapo sokoni mda wote.

Hili linawafanya kwanza wawe waruwaru, they can't settle with one man, lakini pia kwa sababu ya sifa wanazopewa mtaani kukuacha na kwenda kwa mwingine ni kiti kidogo sana....lakini pia they're too materialistic ili kuweka zile standards zao.

Wapo wadada wazuri sana na wana heshima na value ya uzuri wao wanaitambua lakini ni wachache mno..

Nakubaliana na wewe kwa kiasi Fulani ila nowdays wanaume tu hawajiami kabisa sio kwa wanawake tu na mambo mengine.
Hilo swala la hao wanawake wakisifiwa na kujiona wazuri na kuvimba kichwa naona kuna kitu wana kimiss kwa kutokujielewa kwao. Naona ni vichwa panzi tu ka watafata sifa za kijinga na kutokua stable kwenye relation kisa uzuri ni hawajielewi ndo mana hubaki kutumika tu bila sababu na kudapiwa.

Yeah kuna wadada wazuri wanajitambua na kujielewa na malezi huchangia, huwezi kumpata mdada mzuri ki club, ana bad life style mbovu ukategemea ata change hiyo ni big no.
Better kutafta mtu kwa kumchunguza background yake na kumsoma tabia yake hapo relation itakua nzuri kwa kiasi japo mapungufu hayakosekani.
 
Habari zenu wanajamii forum,

Kuna jambo ambalo nalishanagaa kidogo japo sina uhakika asilimia 100 but kwa utafiti nilikokafanya kidogo tu nimegundua wale wanawake wazuri na wenye sura na muonekano mzuri wanatafuta sana watu wa kuwaoa lakini watu wote wanawakimbia, sijui ni kwanini na mara nyingi sasa hivi wale wa kina dada wenye muonekana wa kawaida kisura ndio wanaolewa.

Ili kulithibitisha hilo kuna dada mmoja mzuri sana aliniambia anataka mtu wa kumuona ila kila mwanaume anasema hawezi kuoa presha sasa sijui wanaume wenzangu kunani ni kweli uzuri wao unawatisha au kunanini nyuma ya pazia jamani wengi wanataka kuolewa lakini wanaume wanataka kuwatumia tu kuwaacha.

Jamani tujadili kuhusu hili

Mkuu ninavyo jua mimi; walio wengi wao nazungumzuzia( me) ,kile kipindi cha kutafuta mchumba mm naona hicho kipindi ni kigumu sana maana kila ukiomba uchumba kwa wadada wazur unakutana na maneno ya kashfa nyingi, Mara una nini wew mpaka uje unioe mm,je umezunguka kote ndo umekuja kwangu sio!; hayo ni baadhi ya kashfa , ndipo hapo unakuta anavyoosha moja kwa moja kwa wadada wa sura za kawaida
Fikra zangu tu, maana mm bado cjaoa
 
Ndoa hazina tofauti sana na ajira

hao wanawake wazuri wanaosema wana shida ya kuolewa utakuta hawana shida ya sex partner kabisa
kuna watu wakiwa beep tu wanawafuata for sex....but wakihitaji ndoa hawapati

jaribu kufikiria una kampuni
unahitaji kuajiri.....utaajiri mwenye cv ya nguvu?
au utaajiri kwanza mwenye shida ya hiyo kazi ingawa cv sio ya nguvu
ili umlipe kidogo na awe loyal na kampuni?

kumbuka ukiajiri mwenye CV kali anytime anaweza ondoka akiona haridhiki

Lazma umchukue mwenye CV ndgo ili awe loyal na kampuni nadhan coment yako imemaliza ubish wte
 
mimi demu wangu ni mzuri sana kupita kiasi ila nakumbana na tatizo moja la kumgharamia mahitaji yake paka kichwa kinauma. Kila siku anahitaji pesa na hapa kashanipga kiznga kingne.Mwisho wa siku nitachoka na kumwambia aende sema mimi huwa namkosi wa kupenda madem wazuri hata wawili nilioachana nao walikua wazuri sana tatzo hawajatulia na wao ni kuspend daily kama mimi bakhresa.

Jiandae kufa masikini mkuu nadhan wwe bado unategemea pesa mkopo
 
Ni kujijengea hofu tu na kutojiamini ndo maana mnawakimbia,tafuta mtoto classic weka ndani unalialia eti gharama cjui kuchapiwa au wanajiona huo ni undezi na mwanaume hatakiwi kuwa hivyo,wapo wanawake ambao mfumo wa maisha yao hata awe mbaya haoleki,hao ndio wakuwaogopa co hivi viumbe vingine wanaoshaurika wanaelewa wanajithamini na kujijali wanajua mwanamke anatakiwa awe vp,acheni kulialia.
 
Kupitia uu Uzi nimeweza kutambua ni jinsi gani wanaume hawajiamini kwenye mahusiano yao. Jiamini nyie wanaume sio unaoa demu sura mbovu then unakua unafukizia michepuko mlioa wa nini sasa?

dada diva wanaume hawaepuki mchepuko asilimia 90 hata kama wana warembo sijui why ndugu yangu diva
 
Mkuu ninavyo jua mimi; walio wengi wao nazungumzuzia( me) ,kile kipindi cha kutafuta mchumba mm naona hicho kipindi ni kigumu sana maana kila ukiomba uchumba kwa wadada wazur unakutana na maneno ya kashfa nyingi, Mara una nini wew mpaka uje unioe mm,je umezunguka kote ndo umekuja kwangu sio!; hayo ni baadhi ya kashfa , ndipo hapo unakuta anavyoosha moja kwa moja kwa wadada wa sura za kawaida
Fikra zangu tu, maana mm bado cjaoa

dah niliitwa mjinga na mpumbavu na mdada mmoja mzuri sana, siji kusahau!!
 
Uzuri wa mwanamke ni "subjective-its something which is within the heart & eyes of the beholder",hili ni suala gumu sana,mwanamke anaweza kuwa mrembo lakini hicho kisiwe kigezo cha uzuri kwa mtu mwingine katika suala la kutengeneza familia.
 
dah niliitwa mjinga na mpumbavu na mdada mmoja mzuri sana, siji kusahau!!

Duu! Pole sana mkuu, sasa ukimchagua yule Dada muuza mkaa,kwanza atakusikiliza vizuri tu ,baada ya muda anakuomba mkatambulishane ,ndo mambo kama hayo
 
Habari zenu wanajamii forum,

Kuna jambo ambalo nalishanagaa kidogo japo sina uhakika asilimia 100 but kwa utafiti nilikokafanya kidogo tu nimegundua wale wanawake wazuri na wenye sura na muonekano mzuri wanatafuta sana watu wa kuwaoa lakini watu wote wanawakimbia, sijui ni kwanini na mara nyingi sasa hivi wale wa kina dada wenye muonekana wa kawaida kisura ndio wanaolewa.

Ili kulithibitisha hilo kuna dada mmoja mzuri sana aliniambia anataka mtu wa kumuona ila kila mwanaume anasema hawezi kuoa presha sasa sijui wanaume wenzangu kunani ni kweli uzuri wao unawatisha au kunanini nyuma ya pazia jamani wengi wanataka kuolewa lakini wanaume wanataka kuwatumia tu kuwaacha.

Jamani tujadili kuhusu hili



Mi nafikiri wengi wa hawa vijana huwa wanaogopa hizo sura kudhania kuwa kila msichana mzuri ni demu wa kichagga kutokana na sifa zao za kisenge kumbe siyo. Yote hii ni kutokana na kuhofia kusalitiwa ama kupewa sumu ili wafe warithi hao madada wa kichagga na kaka zao.
 
anitafute kwa pm af namii nione kama anafaa au hafai maana natafuta wa kuoa
 
Uzuri ni relative term! Hata hivyo, kwa hulka ya wanawake wengi, wakisifiwa uzuri wao basi nao huota pembe. Pia baadhi wanaishi maisha yasiyo yao, wanaigiza.

Ukiona huoleki na unahitaji kuwa mke wa mtu siku moja, lakini kila wakija wanachapa na kusepa...jitizame, waweza kuwa na udhaifu fulani ambao unawakera vidume...
Kila la heri wote mnaosali, mnaofunga na mnaotamani kuolewa siku moja!!

Nafikiri hii umeiweka vizuri mkuu. ndio ukweli wenyewe.
 
Back
Top Bottom