Kwanini baadhi ya wanaume hawaoi wadada wazuri?

Kwanini baadhi ya wanaume hawaoi wadada wazuri?

Mimi nitaoa mzuri

Hata mimi, sio unachukua mke alafu unakuja kuulizwa na watoto baadae, dingi enzi zako hakukuwa na wanawake wazuri?..au unaoa mke ambaye we mwenyewe kumtambulisha kwa rafikizo huwezi.
Na itambulike wazi ukorofi wa wanawake ni tabia tu, kwani hata hao wabaya wapo wenye mambo ya ajabu, tena wale wenye maumbile mabaya sana wengi wao WACHAWI..
 
Mtoa maada nafikiri maana ya neno UZURI bado ni msamiati kwako....
 
Mbona wa kawaida sana. Umezuzuka na rangi tu hapo. Kuna tofauti ya mzuri ( pretty girl) na mrembo ( beautiful girl) huyu beautiful na sio pretty girl.
1. Mwanamke mzuri na mrembo hawezi ishi uswahilini
2. Huwa matawi juu sana. Huna gari na kazi yenye jina humpati. Hapa kama wewe ni Mwl utasubiri sanaaa.
3. Huwa hawampi mwanamume muda wa mkujua kwa undani. Mwanaume huzuzuka kwa umbo na sura ila akipishana naye ktk mlango wa choo mwanaume anakuja kugundua kuwa na ya warembo huwa yananukaa.
4. Wanalinga sana kuwa na dharau wakidanganywa na vioo vyao dressing tables. Wakijua wanaweza zuzua mwanaume yeyote kwa wakati wowote. Mwisho huishia kuwa michepukoo ya mapedeshee na mwisho huangamia kwa HIV/AIDS.

Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia huku uswazi kwetu hamna wanawake wazuri na warembo??? Huko ushuani ndio mna wanawake wazuri ???????
 
Mbona wa kawaida sana. Umezuzuka na rangi tu hapo. Kuna tofauti ya mzuri ( pretty girl) na mrembo ( beautiful girl) huyu beautiful na sio pretty girl.
1. Mwanamke mzuri na mrembo hawezi ishi uswahilini
2. Huwa matawi juu sana. Huna gari na kazi yenye jina humpati. Hapa kama wewe ni Mwl utasubiri sanaaa.
3. Huwa hawampi mwanamume muda wa mkujua kwa undani. Mwanaume huzuzuka kwa umbo na sura ila akipishana naye ktk mlango wa choo mwanaume anakuja kugundua kuwa na ya warembo huwa yananukaa.
4. Wanalinga sana kuwa na dharau wakidanganywa na vioo vyao dressing tables. Wakijua wanaweza zuzua mwanaume yeyote kwa wakati wowote. Mwisho huishia kuwa michepukoo ya mapedeshee na mwisho huangamia kwa HIV/AIDS.

Acha Uongo
 
Mwanaume unaejiamini na unajisimamia huwezi kuwa na hofu ya kuoa totoz iliyo classic in all aspect.. hakuna kiumbe wa kike asiye penda kupendwa, kuheshiwa, kusaidiwa na kulindiwa hisia zake. Ukiyaweza hayo huwezi kuwaogopa hawa viumbe, ni wetu na sisi ndio wao.

Wengi wa walio waoga ni kutojiamin kwao na ile kujishusha kwamba "Sina hadhi ya kuwa na mrembo huyo" wajajanja watanipora...hii ndio inapelekea kuwaogopa lakini hawana tatizo, eti wengine wanadai wanalinga na wanamajivuno...hii ni hulika ya mtu kuna wengine ni majanga lakini bado wanahizo tabia...so hiyo ni hulka tu ya mtu.

Tumeumbiwa sisi hawa warembo toka enzi ya Adam mpaka sasa.
 
Kuna kaukweli ndani ya hii mada, warembo wengi hawaoleki na ukikuta kaolewa ujue anajitambua, wasichana wengi wakishajijua ni warembo huwa wanajenga tabia fulani za kujiona,hata ukiwa nae kimapenzi haogopi kuachwa coz anajua wapo kibao wanaomtaka, kuna best yangu ana demu mrembo kweli kwa maana ya urembo anamsumbua sana yupo home kazi yake kuwatch movie tu, msosi wanaagiza hotelini yaani ni full majanga.
Naamini kama ilivyo asili ya wanyama wanaoliwa kuwa wengi zaidi ya wanaokula (simba/nyumbu) mfano, even kwa binadamu hivyohivyo kuna wadada waliozaliwa kwa ajili ya kuliwa tu.
 
Kutokana na kujiona wazuri sana, wanakuwa wanajiamini sana kwamba siku yoyote wanaweza olewa na kujisahau. Siku wakiwa "Serious" tayari anajikuta keshatumika sana.
 
Habari zenu wanajamii forum,

Kuna jambo ambalo nalishanagaa kidogo japo sina uhakika asilimia 100 but kwa utafiti nilikokafanya kidogo tu nimegundua wale wanawake wazuri na wenye sura na muonekano mzuri wanatafuta sana watu wa kuwaoa lakini watu wote wanawakimbia, sijui ni kwanini na mara nyingi sasa hivi wale wa kina dada wenye muonekana wa kawaida kisura ndio wanaolewa.

Ili kulithibitisha hilo kuna dada mmoja mzuri sana aliniambia anataka mtu wa kumuona ila kila mwanaume anasema hawezi kuoa presha sasa sijui wanaume wenzangu kunani ni kweli uzuri wao unawatisha au kunanini nyuma ya pazia jamani wengi wanataka kuolewa lakini wanaume wanataka kuwatumia tu kuwaacha.

Jamani tujadili kuhusu hili

Wanawake wazuri kwa sura na maumbo ya kuvutia ndoa zimeashinda wengi kwa kuwa huamini huo uzuri wao ndio mtaji na kuwa hata akiachwa wanaume wanaomhitaji ni wapo. Wanaume hawataki maisha ya maigizo hivyo huamua kuwaepuka.
 
Kupitia uu Uzi nimeweza kutambua ni jinsi gani wanaume hawajiamini kwenye mahusiano yao. Jiamini nyie wanaume sio unaoa demu sura mbovu then unakua unafukizia michepuko mlioa wa nini sasa?
 
2naogopa kutembea na vdonge vya presure
 
mimi demu wangu ni mzuri sana kupita kiasi ila nakumbana na tatizo moja la kumgharamia mahitaji yake paka kichwa kinauma. Kila siku anahitaji pesa na hapa kashanipga kiznga kingne.Mwisho wa siku nitachoka na kumwambia aende sema mimi huwa namkosi wa kupenda madem wazuri hata wawili nilioachana nao walikua wazuri sana tatzo hawajatulia na wao ni kuspend daily kama mimi bakhresa.
 
Back
Top Bottom