Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,811
- 235,942
Una uhakika huyo ni kahaba??Hapana swez kua kundi moja na kahaba mchafu nungaiyembe asiyejua nafasi yake katika jamii, never under the son, sideways or above it.
Huwezi kujenga hoja zako vizuri pasi na matusi??
Mbona yeye anajenga hoja na hatukani matusi,ukitukana matusi ndiyo utaonekana umeshinda?
Usipotukana unapungukiwa nini?