Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Status
Not open for further replies.
Una hoja sana, wengi hawajioni coz dunia ipo so confused ilà nimesoma kidogo concept ya feminism, sio issue hata kidogo. Hoja kubwa ipo hapo bold, na hao ndio wanakuwa na matatizo katika handling ya mambo ya mahusiano, kila akianzisha mahusiano yanamshinda mwisho anaandama jinsia pinzani...
Feminism haihusiani na ujuaji au much know au kushindwana na mahusiano watu wanachaganya Mambo hapa. Mtu mjuaji ni hulka yake tu, pia kuwa emotion haihusiani ni big concept hasa jinsia ya kiume mnaichukulia tofauti
 
Wewe unatukana wewe Ni vizuri utoe stress za maisha kwa kweli Hadi wanaume wenzako wanakushangaa, tafta hela, haya matusi unayotukana geuzs Sasa kutafta hela utashangaa hasira zinayeyuka ghafla bin vuu then furaha inarudi. Wewe wachukia wanawake unajiumiza tu nafsi yako maana hasira iko kifuani mwako, utatukana wee hafu I'd utakiimbia maana hii ni special kwa kutukana naomba uje na I'd nyingine ya siku zote
Mbona unaandika kama unakimbizwa wee feminist kaa tulia kisha andika vizuri
 
Feminism haihusiani na ujuaji au much know au kushindwana na mahusiano watu wanachaganya Mambo hapa. Mtu mjuaji ni hulka yake tu, pia kuwa emotion haihusiani ni big concept hasa jinsia ya kiume mnaichukulia tofauti

hebu tuambie sasa concept yako ni nini hapa..
 
hebu tuambie sasa concept yako ni nini hapa..
Sidhani kama anajua maana yake

Mungu kasema hakuna usawa kati ya mwanamke na mwanaume yeye anataka usawa

Afahamu mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu hatokuja kuwa sawa na mwanamke abadani
 
Sidhani kama anajua maana yake

Mungu kasema hakuna usawa kati ya mwanamke na mwanaume yeye anataka usawa

Afahamu mwanaume atabaki kuwa mwanaume tu hatokuja kuwa sawa na mwanamke abadani

ni vyema akapewa nafasi atueleze usawa upi anautaka au usawa maana yake ni nini..labda tutaelewa kitu na ubishi utaanzia hapo...
 
Hawawezi kujuta kabisa kulelewa na strong mama like me Tena watanishukuru maana nitawafundisha life skills mbalimbali so hawata regret kamwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122]
 
Utajua wewe la shekhe yahya ila mi najua unastress za maisha mixer mahusiano na kama ujaachwa wewe........sijui

Umekuja kutafuta faraja eeh!
[emoji23][emoji23] wanaume humu Leo mnanifokea fokea Sana wengine matusi wewe wajifanya shekhe Yahaya, I'm happy jinsi tu watu wanavokera ninachokiamini
 
Wanaume waoga na wasiojiamini ndio hupenda wanawake wawe chini. Inshort hao Ni insecure people wanaamini ili wawe wanaume kamili lazima wamnyanyase mwanamke, pia Mila na desturi nyingi bado ni tatizo hasa Africa.
Endelea na imani zako za kipumbavu
 
[emoji23][emoji23] wanaume humu Leo mnanifokea fokea Sana wengine matusi wewe wajifanya shekhe Yahaya, I'm happy jinsi tu watu wanavokera ninachokiamini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom