Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,898
- 1,051
- Thread starter
- #41
si kweli kuwa waislam hawaruhusu mtu asiye kuwa muislam aingie msikitini. mtu yoyote anaruhusiwa kuingia msikitini bila kujali dini yake ili mradi afate masharti kama vile kuvua viatu na kwenda kutia udhu. sema akishaingia msikitini haruhusiwi kusali hadi asilimu. ACHA KUKALILI NDUGU.
Pamoja na papa kuingia msikitini na ALISWALI PICHA HIYO HAPO JUU.JE,ALISILIMU?? Nijibu mheshimiwa unaedai nakariri.