Kwanini anga lina rangi ya blue?

Kwanini anga lina rangi ya blue?

Swali la msingi kwanini tuone Blue tu sio kijani? Nyesui etc...?
Mwifwa karibu..utusaidie upande wa bayolojia
Kwenye colour spectrum kila rangi Ina frequency zake, frequency varies inversely proportion to wavelength,, kwa maana nyingine pia ni kuwa kila rangi pia Ina wavelength yake,

Binadamu tunaona anga Lina rangi ya bluu kwa kuwa wave length ya rangi hiyo oi ndo mwisho wa uwezo wa macho yetu, kuna viumbe wengine wanaona rangi nyingine anga Hilo hilo
 
Mkuu nilisoma physics form 4 kwenye topic ya light nilifundishwa kuwa huo ndo mwisho wa macho yako kuona,si kwamba kuna kitu cha blue huko ila ni space tu, sasa sijui why blue hata kama ndo end of eye vision,nahisi ningesoma physics zaidi ningepata jibu.Ameeen
 
Sunlight reaches Earth's atmosphere and is scattered in all directions by all the gases and particles in the air. Blue light is scattered more than the other colors because it travels as shorter, smaller waves. This is why we see a blue sky most of the time.

 
Kuna kitu inaitwa 'scattering' kama inavojulikana kwamba mwanga wajua una range tofauti za rangi na zenye wavelength tofauti kutoka x-ray hadi hizo blue..

Turudi kwenye swali.. why anga ni la blue.. sababu ni mwale unapotoka kwenye jua unabeba waves tofauti za rangi tofauti. Ktk hizo range rangi y blue ina wavelength kubwa yaani kipenyo chake kutoka crest moja kwenda nyingine, pia kitu chenye wavelength kubwa kina frequency ndogo ya kupenya vitu.. mfn xray ina frequency kubwa na wavelength ndogo ivyo unaweza pata pich ya mifupa.

Angani kuna particles tofauti, za gas na dust.. rangi ya blue inapogonga izo particles inatawanyika 'scattering' hivyo basi tunaona rangi ya blue.

Nimejaribu kudadavua ...
View attachment 1245596
Umenikumbusha enzi hizo nasoma...ukichora tu hivyo ticha anakupa marks zote hata kama kamchoro ni kauongo
 
Wakat tunasoma topic ya LIGHT ulikua unakula tu good time...sasa ona v2 vyepesi vinakutungua mimba
Hahaaaaaaaa actually hilo lilikua outer Question ila Main nilitaka kujia process inayofanyika hadi jicho laona rangi blue
 
Mkuu nilisoma physics form 4 kwenye topic ya light nilifundishwa kuwa huo ndo mwisho wa macho yako kuona,si kwamba kuna kitu cha blue huko ila ni space tu, sasa sijui why blue hata kama ndo end of eye vision,nahisi ningesoma physics zaidi ningepata jibu.Ameeen
Hata waliosoma phizikia hawajatoa majibu kama yako.
 
Reflection of light especially from the sea... makes the sky to appear blue...


Cc: mahondaw
 
Ukitaka kujua mbwa anaona rangi gani, jibadilishe uwe mbwa afu uje utambie..
Na ww unataka kufahamu Ndo maana unataka nikshakua mbwa nkafahamu nirudi kusema. Well hilo haliwezekani mkuu. Suggest another way.
 
Nakupa mfano mwepesi sana usipotafakari basi ukalale: Maji ya Ziwa , Maji ya Bahari ukiwa mbali huonekana Blue but ukisogea ukayachota yanakuwa Hayana rangi (colorless ) Hii inakuonyesha sehemu yoyote yenye kina kirefu ikipata mwanga kwasababu inakuwa aina mwisho kwa upeo wa macho yako basi huliflect rangi ya Retina ndani ya jicho la mwanadamu kuashiria hakuna Reflaction ya kutengeneza object ndani mfumo wa jicho.
Jibu mjarabu.
 
Nakupa mfano mwepesi sana usipotafakari basi ukalale: Maji ya Ziwa , Maji ya Bahari ukiwa mbali huonekana Blue but ukisogea ukayachota yanakuwa Hayana rangi (colorless ) Hii inakuonyesha sehemu yoyote yenye kina kirefu ikipata mwanga kwasababu inakuwa aina mwisho kwa upeo wa macho yako basi huliflect rangi ya Retina ndani ya jicho la mwanadamu kuashiria hakuna Reflaction ya kutengeneza object ndani mfumo wa jicho.
Jibu mjarabu
 
Haya ni maoni yangu tu binafs,usiku anga ni jeusi na nyota tunaziona ,mchana kwa kuwa nguvu ya jua ni kubwa sana na anga nalo ni kubwa kupita kiasi ule weusi unapungua na kuonekana kama bluu hivi.
images%20(33).jpeg
 
Back
Top Bottom