Kwanini anga lina rangi ya blue?

Kwanini anga lina rangi ya blue?

Asilimia kubwa ya Dunia ni maji, bahari imeipita ardhi kwa asilimia za mraba..

Anga inapata rangi ya BLUE kutokana reflection ya jua kupiga kwenye maji, yaani UBULUU wa Anga ni kioo cha maji..

Wakati wa Usiku Anga huwa nyeusi, kwasababu hakuna Jua linalomurika maji likapeleka mwana wa Blue Angani.. 😊😊😊😊
Ulipata geography ngapi mkuu
 
Hilo
swali la msingi,possibly swali bora la mwezi
Hilo jibu nililotoa ndio jibu sahihi kwa level ya muuliza swali otherwise nikimchangulia zaidi hataona ndani..

Ukiichukulia Dunia kama ilivyo sehemu ya maji hasa ya bahari ni kubwa mara mbili ya sehemu ya arthi..

Swala, Je kwanini maji ya bahari ni ya BLUE..??

Ukijibu hilo Swala utakuwa umemjibu kwanini Anga iko Blue..?
 
Kuna principle inaeleza vizur sana hili suala....,ila kiufupi inatokana na kutawanywa kwa miale ya jua,huko angani kuna gas nyingi sana na kuna gesi moja siikumbuki jina ndio ina hii tabia ya kutawanya kwa wingi hii miale ya jua...sasa inapotawanywa huwa na rangi nyingi BUT rangi ya bluu ndio hutawanywa kwa wingi sana na ndio maana unaliona kama anga ni la bluu mkuu......na kuthibitisha hili anga lipo katika sayari na satelaiti karibu zote......katika sayari zingine anga ni jeusi boss....hata mwezini ambao ndio satelait asikia ya dunia anga lake ni jeusi na hii inatokana na kukosekana kwa hiyo gesi huko kwenye hizo sayari nyingine na mwezini.....gesi hiyo hupatikana duniani tu!
 
Ni mwanga tuu ule mkuu
Ndio ni mwanga, kwanini huo mwanga uwe BLUE, nafikiri hilo ndio lilikuwa swali lako kwa another angle..

Kwahiyo umeuliza swali wewe mwenyewe jibu hulijui, halafu unaanza kejeli 😊😊
 
Hilo

Hilo jibu nililotoa ndio jibu sahihi kwa level ya muuliza swali otherwise nikimchangulia zaidi hataona ndani..

Ukiichukulia Dunia kama ilivyo sehemu ya maji hasa ya bahari ni kubwa mara mbili ya sehemu ya arthi..

Swala, Je kwanini maji ya bahari ni ya BLUE..??

Ukijibu hilo Swala utakuwa umemjibu kwanini Anga iko Blue..?
Mkuu kwa kweli sina majibu
 
Mmh, huyo alieuliza mwanzo, kwanini Anga ni ya BLUE nae hana jibu,.. Nakwenda kusali, I'll be back, stay tuned..

Chemsha Bongo jibu ni rahisi sana..
Bado unapiga rakaaa..?
 
Eeeh hii thread sikuiona

Swalli tuliulizwaga hili zamani sana adavance

Nadhani ushapata majibu yake

Ni mambo ya scattering of light
Sababu blue color ipo scattered more kuliko colors zingine sababu yenyewe inasafiri kwa wavelength fupi na ndogo

Sijui hata kama umenielewa ? +
 
Eeeh hii thread sikuiona

Swalli tuliulizwaga hili zamani sana adavance

Nadhani ushapata majibu yake

Ni mambo ya scattering of light
Sababu blue color ipo scattered more kuliko colors zingine sababu yenyewe inasafiri kwa wavelength fupi na ndogo

Sijui hata kama umenielewa ? +
Naelewa mkuu sema wengi wametoa majibu upande wa phizikia mimi nilitaka kwa biolojia hasa upande wa jicho...
 
Physics hiyo,

Blue color has the shortest wavelength compared to other colors.
 
Naelewa mkuu sema wengi wametoa majibu upande wa phizikia mimi nilitaka kwa biolojia hasa upande wa jicho...
Aisee... Mzee hapo tunaingia kwenye mambo ya retina

Ma photo receptors na kadhalika
 
Nafikiri ni kweli mkuu, halafu nadhani kuna binadamu wana tatizo la macho(color blind)Kama ni kweli simba anaona black and white inamaana hizi rangi tunazo sisi kwenye macho yetu tunazpachika kwenye object. Sasa object zina rangi gani?
Vitu tunaviona kwa rangi zao kwa sababu vina akisi rangi husika na kumeza rangi zingine. Mfano kitu chekundu, kina "pigments" ambazo zina akisi "reflect" rangi moja tu nyekundu katika mwanga na kumeza zingine. Hiyo rangi inayoakisiwa ndio tunaiona sisi.

Kuhusu wanyama kuona rangi gani inategemea na mfumo wa macho yao.
 
Back
Top Bottom