Tunaona bluu kwa sababu rangi ya bluu inasafiri in small and shortwave length hivyo kutawanywa pande zote zaidi kuliko rangi zote hasa red wakati wa mchana na air molecules, kwa hiyo anga ni la bluu sababu ya scattering. Pia wakati wa jioni red color inakuwa scatterd more ndio maana wakati jua linazama anga huwa jekundu. Soma zaidi rayleigh scattering
na hiki ndio nijuacho,
kwa kuongezea tuu, n kwamba rangi hii ya blue hutolewa na jua(jua lina rangi takriban 7, kaa ukijua zile rangi zote unazoziona kwenye upinde wa mvua ndio zipo kwenye jua kwa mpangilio ule ulee),
kwenye ule mpangilio wa light spectrum(vuta picha ya upinde wa mvua) inaanza yenye wavelength kubwa ambayo ni RED kuelekea yenye wavelength ndogo ambayo ni VIOLET,
Ukiangalia ya pili kutoka mwisho ni blue na ya mwisho ndio hio violet ambayo ina short wavelength kuliko zote,
Kumbuka yenye short wavelenght ndio rahisi kusambaa hivyo ni rahisi kuiona
swali: je ni kwa nn hatuoni anga au bahari ikiwa na rangi ya violet yenye wavelengh ndogo kuliko blue(kumbuka yenye wavelength ndogo ndio rahisi kusambazwa na rahisi kuiona)
Jibu: violet inasifa yakua absorbed katka atmosphere hivyo kufifia/kutofika/kupungua nguvu hivyo reflection yake inakua ndogo kwenye macho yetu,
kwa ufupi macho ya binadamu ni more sensitive to blue colour kulinganisha ni violet.
Na hii ndio sbb bahari huonekana ya blue sbb ya reflection, nenda baharini angalikiwa jeupe km utaona bahari ya blue.
Kitu kingne unachopaswa kuelewa ni
HAKUNA KITU CHENYE RANGI YAKE DUNIANI; WALA HAKUNA RANGI KATIKA ULIMWENGU HALISI BALI hizi rangi tuonazo ni THEORETICALY,
ILA TUU KUNA MWANGA WENYE WAVELENGHT(HII NDIO HULETA RANGI) TOFAUTI.
Rangi ni matokeo ya Vitu vitatu :
Mwanga mweupe(mwanga mweupe unabeba rangi zotee),
uwezo wa jicho lako na
Brain perception.
Na ndio maana Kuna mda unaona watu wakibishana kuhusu rangi,
hii ni kwa sbb ya utofaut wa uwezo wa macho, mitazamo ya ubongo na amount of light reflected toward each of you.
Kila kiumbe kina uwezo wake wa kuona rangi tofauti tofauti kulingna na type za cons alizonazo,
wakiongozwa na Ndege, samaki, Nyukii, wadudu hawa wanaona mpk ultraviolet light, sbb wanatype nne za cons(sitazungumzia kuhusu cons this is simple Biology karbun wote tulisoma, wala sitazungumzia light inavyofanya kazi kwenye cornea this is simple Physics ya O-level ambayo weng tumesoma n suala la kukumbuka tuu),
kwa waliosoma Baadhi ya kozi za chemistry vyuoni watakumbuka Organic Spectroscopy, masuala ya NMR, resonance, infrared, ultraviolet spectroscopy, hii kitu si shida,
Hawagusii inavyofanya kazi wenye jicho ila inazungumzia sana wavelength na frequency ambavyo ndio nguzo kubwaa,
maelezo ya wavelength na frequency yamejaa kule, wazee weng wa CONAS hope tunaelewanaa....
Hao viumbe hapo juu haina ubishi ya kua wamepewa uwezo mkubwa wa kuona rangi nyingi kutokana na life style yao inayotegemea mwanga sana mfn ktk kujipatia chakula, hilo halina ubishi kwa ndege, wadudu na nyuki wote tunaelewa.
Baada yao tunafuatia binadamu wenye corns tatu pamoja na apes na chimps, sisi rangi zetu kubwa ni Blue, green, na red(rangi zote uzionazo ww ni matokeo ya hizi rangi tatu, uwezo wa macho na brain perception ndio vitaamua uone ipi, mfn yellow ni matokeo ya mchanganyiko wa red na green n.k n.k
NA KM ULIKUA HUJUI , TV ZINATENGEZWA KWA HIZO RANGI TATU TUU, HAYO MARANGI MENGNE UNAYO YAONAGA NI MAPICHA PICHA TU YA JICHO LAKOO
Paka, panya, mbwa ni kundi la wanyama wanaaoona rangi chache sanaa, wao rangi zao kubwa ni black and white, Sbb n kwamba wao hawatumii sana cornea bali hutumia rods ambazo huhusika ktk low light reflection na zipo sensitive to black and white colour tuuu.
aisee nashindwa kuandika vyote hapa km una swali uliza, pia narudusu kukosolewa, kusahihishwa na kupingwa, hizi elimu zote ni mapokeo, pokea ujue, hujui leo kesho unajua...
Ahsante....