Kwanini anga lina rangi ya blue?

Kwanini anga lina rangi ya blue?

Hebu iweke vizuri mkuu.. inakuaje mwanga wa jua ukiakisi maji anga linakua blue? Mimi nafahamu maji hayana rangi ila Huakisi rangi kutokana na mahali yalipo.. Hebu nifafanulie
Uongo ukisema ivyo kachote maji baharini uone kama ni blue.
 
Nakupa mfano mwepesi sana usipotafakari basi ukalale: Maji ya Ziwa , Maji ya Bahari ukiwa mbali huonekana Blue but ukisogea ukayachota yanakuwa Hayana rangi (colorless ) Hii inakuonyesha sehemu yoyote yenye kina kirefu ikipata mwanga kwasababu inakuwa aina mwisho kwa upeo wa macho yako basi huliflect rangi ya Retina ndani ya jicho la mwanadamu kuashiria hakuna Reflaction ya kutengeneza object ndani mfumo wa jicho.
Ongeza nyama nimependa maelezo hapo kwenye jicho ndio nilikokua nataka mkuu
 
Salute..
Naomba mnisaidie kufahamu hii kitu.. kwanini anga ni la brue nimejaribu kutumia ka elimu kangu ka Rangi na Reflection of Lights kutoka sekondari ila nimeshindwa kutambua.
Mimi nachofahamu rangi ya anga linaonekana hvo lilivo kutokana na ukomo wetu wa kutazama..yani hiyo rangi ya blue inaonekana kwakua hapo ndio macho yalipoishia kutazama.

Lakini pia kwanini tusione rangi zingine tunaona blue tu..? Watalamu wa macho nisaidie
Karibuni mliopta shule....

Mkimaliza kujibu rangi mniambie mbinguni ni wapi... maana sijui watu wa babeli walijenga vipi mnala ukafika mbinguni

Swali zuri sana. Kwa mujibu wa neno la Mungu kinachoonekana cha blue ni Maji yaliyofungiwa kwenye kitu kama kioo.

Kwa utangulizi neno linasema

Mwanzo 1:1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.

Mwanzo 1:2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

Sasa unachokiona ni blue ni maji ya juu.
Mwanzo 1:6 Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.

Mwanzo 1:7 Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.
 
Swali zuri sana. Kwa mujibu wa neno la Mungu kinachoonekana cha blue ni Maji yaliyofungiwa kwenye kitu kama kioo.
Usipende kusoma kitabu kimoja (Bible) soma vitabu na source mbalimbali za taarifa ili ufanye tafsiri sahii ya kitu unachoweka ndani ya kichwa chako.........
 
Hivi ni object ndo zina rangi au sisi ndo tunapachika rangi kwenye object? Mfano chura, fisi, swala, ng'ombe, simba n.k nao wanaona blue au rangi nyingine? Au wakiangalia let's say mkate, wanaona rangi kama tunazoona sisi? Kama ni rangi nyingine wanaona then object huwa zina rangi gani halisi?
 
Hivi ni object ndo zina rangi au sisi ndo tunapachika rangi kwenye object? Mfano chura, fisi, swala, ng'ombe, simba n.k nao wanaona blue au rangi nyingine? Au wakiangalia let's say mkate, wanaona rangi kama tunazoona sisi? Kama ni rangi nyingine wanaona then object huwa zina rangi gani halisi?
Now unaenda sehem nilipokua napataka.. watu wanjibu hili swali langu bila kufatilia kiini cha mada.. mfano Simba anaona Black n whites..
 
Usipende kusoma kitabu kimoja (Bible) soma vitabu na source mbalimbali za taarifa ili ufanye tafsiri sahii ya kitu unachoweka ndani ya kichwa chako.........
Bado nina reference nyingi sio moja

Zaburi 148:4 Msifuni, enyi mbingu za mbingu, Nanyi maji mlioko juu ya mbingu.

Hata Quran inasema hivyo pia, waje watu wathibitishe. Kuhusu biblia neno liko wazi
 
Salute..
Naomba mnisaidie kufahamu hii kitu.. kwanini anga ni la brue nimejaribu kutumia ka elimu kangu ka Rangi na Reflection of Lights kutoka sekondari ila nimeshindwa kutambua.
Mimi nachofahamu rangi ya anga linaonekana hvo lilivo kutokana na ukomo wetu wa kutazama..yani hiyo rangi ya blue inaonekana kwakua hapo ndio macho yalipoishia kutazama.

Lakini pia kwanini tusione rangi zingine tunaona blue tu..? Watalamu wa macho nisaidie
Karibuni mliopta shule....

Mkimaliza kujibu rangi mniambie mbinguni ni wapi... maana sijui watu wa babeli walijenga vipi mnala ukafika mbinguni
Sunlight reaches Earth's atmosphere and is scattered in all directions by all the gases and particles in the air. Blue light is scattered more than the other colors because it travels as shorter, smaller waves. This is why we see a blue sky most of the time.
 
Usipende kusoma kitabu kimoja (Bible) soma vitabu na source mbalimbali za taarifa ili ufanye tafsiri sahii ya kitu unachoweka ndani ya kichwa chako.........
Nikichogundua upo negative.. na unaona ww ndio mawazo yako sahihi tu....Be calm mjibu mtu kwa kauli nzuri. Yeye kaleta kuhusu biblia wengine walete kutoka sosi wanazozijua
 
Hivi ni object ndo zina rangi au sisi ndo tunapachika rangi kwenye object? Mfano chura, fisi, swala, ng'ombe, simba n.k nao wanaona blue au rangi nyingine? Au wakiangalia let's say mkate, wanaona rangi kama tunazoona sisi? Kama ni rangi nyingine wanaona then object huwa zina rangi gani halisi?
Nakupa homework kidogo, kama mtaani kwenu kuna kipofu mtafute jenga naye mazoea ,, Then shika kitu muulize hiki ni Rangi gani ?..... Ukipata jibu Rudi kwenye uzi huu sema alikujibu nini....
 
Nikichogundua upo negative.. na unaona ww ndio mawazo yako sahihi tu....Be calm mjibu mtu kwa kauli nzuri. Yeye kaleta kuhusu biblia wengine walete kutoka sosi wanazozijua
Kasema kitu kizito sana hapaswi kuachwa ivyo... hukimuacha bila kujua ukweli nayo ni dhambi.... Hata shuleni kulikuwa na mwalimu mkali na mpole ... so usiogope watu wengine kuwa negative... yaani namaanisha usipende kudekadeka.
 
Back
Top Bottom