ndizeye
Member
- Sep 5, 2011
- 44
- 51
Uongo ukisema ivyo kachote maji baharini uone kama ni blue.Hebu iweke vizuri mkuu.. inakuaje mwanga wa jua ukiakisi maji anga linakua blue? Mimi nafahamu maji hayana rangi ila Huakisi rangi kutokana na mahali yalipo.. Hebu nifafanulie