Salute..
Naomba mnisaidie kufahamu hii kitu. Kwanini anga ni la blue? Nimejaribu kutumia ka elimu kangu ka Rangi na Reflection of Lights kutoka sekondari ila nimeshindwa kutambua.
Mimi nachofahamu rangi ya anga linaonekana hivyo lilivo kutokana na ukomo wetu wa kutazama, yaani hiyo rangi ya blue inaonekana kwakua hapo ndiyo macho yalipoishia kutazama.
Lakini pia kwanini tusione rangi zingine tunaona blue tu? Watalamu wa macho nisaidieni.
Karibuni mliopta shule....
Mkimaliza kujibu rangi mniambie mbinguni ni wapi, maana sijui watu wa Babeli walijenga vipi mnara ukafika mbinguni.
MICHANGO YA WADAU
Wick anasema...
Avatar mok
reyzzap