Kwanini Albert Einstein Alikuwa Genius?

Huyu jamaa ni hatari sana wengine wanasema Newton mkali zaidi na wengine tesla
Lakini Einstein anawazidi mbali namkubali Newton lakini equation zake ni ndogo ndogo mbele ya Einstein na Tesla yupo practical sana
Kiufupi huyu ndio the greatest scientists of all time
Kuna kitu unajua kuhusu kazi za Einstein? Sijui unatoa wapi ujasiri wa kusema Einstein was greater than Newton
 
Alafu bro, hushawahi kujiuliza ni kwanini kila mataifa yanaposimama kutaka kupigana yanasita? Unajua muda uliopita kata ya vita kuu ya 1 na ile vita kuu ya 2 na muda uliopita kufikia vita kuu ya 3? Ungemshukuru Einstein

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa ujumla wake hakuna anae penda kukutana na, adui yake, kwa mengi, kwa sababu za kiuchumi, kupoteza raia wao na mfano wake.

Sina cha kumshukuru Einstein mzee.
 
Kuna kitu unajua kuhusu kazi za Einstein? Sijui unatoa wapi ujasiri wa kusema Einstein was greater than Newton
Newton alikuwa anadeal equation ndogo ndogo huwezi mlinganisha na eistein
Einstein alikuwa anadeal equation za hatari General relatively
Ukitaka kuelewa zaidi Anza kufatilia kazi zao zisome kwa undani hata mm nilikuwa najua Newton ni balaa kisa kila sehemu yupo na imenichukua miaka mingi kukubali Einstein ni balaa
 
Heading was supposed to be Albert Einstein the Top Terrorist(Mgaidi bingwa duniani) the world had and will never have.
yeye alijenga bomb ilitumika kupasua Hiroshima and Nagasaki. Bomb hio iliathiri na bado enaendelea kuathiri kila kizazi cha Japan Tangu wakati huo hadi wa leo.
Hafai kuitwa mwana science, bali alikua mjambazi sugu.
Tatizo sio mtengeneza kisu, ila mtumiaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ujumla wake hakuna anae penda kukutana na, adui yake, kwa mengi, kwa sababu za kiuchumi, kupoteza raia wao na mfano wake.

Sina cha kumshukuru Einstein mzee.
Albert Einstein is perhaps most famous for introducing the world to the equation E=mc2. In essence, he discovered that energy and mass are interchangeable, setting the stage for nuclear power—and atomic weapons.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio mtengeneza kisu, ila mtumiaji

Sent using Jamii Forums mobile app
jama alikua na roho chafu kuliko ya wanyama, inasemekana wazi pale Wikipedia yeye ndio mwanzilishi ya huo ushauri wa kuua namna hiyo. Na yeye kua mwanascience mkubwa, bila shaka alijua bomb yake itaathiri wakazi wa Japan na majirani wao hadi kizazi kutoka wakati huo milele.
Wikipedia pale google wameandika hivi kumhusu: On the eve of World War II, he endorsed a letter to President Franklin D. Roosevelt alerting FDR to the potential development of "extremely powerful bombs of a new type" and recommending that the US begin similar research.
 
Mkuu Probably you don't know both Newton and Einstein, Einstein he is most famous for his theory of relativity, Newton anadeal na vitu vingi.. nani kakuambia Newton alideal na equation ndogo ndogo?

The best ever Single piece Of work in science realm ni PRONCIPIA MATHEMATICA ambayo ni kazi ya Newton.

Kuna mengi sana ambayo Newton anakaa juu ya Einstein.
Newton alikuwa anadeal equation ndogo ndogo huwezi mlinganisha na eistein
Einstein alikuwa anadeal equation za hatari General relatively
Ukitaka kuelewa zaidi Anza kufatilia kazi zao zisome kwa undani hata mm nilikuwa najua Newton ni balaa kisa kila sehemu yupo na imenichukua miaka mingi kukubali Einstein ni balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa I was thinking unajua Phyiscs, Hakuna theory zinapinga zingine? Kipindi cha medieval it was believed and theorized kwamba Ni Jua linazunguka dunia.. lakini Galileo Akaja na theory yake kwamba Ni dunia linazunguka jua.. je huku si kupinga?
Wao wanapingana wenyewe kwa wenyewe ila hakuna mkweli kati ya wawili hao, marejeo yetu ni katika ukweli ndio maana nikasema hakuna theory inayoweza, kuifanya theory kuwa kweli na kinyume chake.

Theory ya Newton's law of universal gravitation inaonyesha uhusiano kati ya mass (tungamo) za two bodies katika umbali fulani, lakini huyu alipingwa na wale wa theory ya Cancellation,Einstein amekuja kuongelea kuongelea mambo expansion, ndio wakaenda mpaka katika redshift.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Albert Einstein is perhaps most famous for introducing the world to the equation E=mc2. In essence, he discovered that energy and mass are interchangeable, setting the stage for nuclear power—and atomic weapons.

Sent using Jamii Forums mobile app
Muuaji hata awe na mazuri makubwa kama kulisha wakazi wa mji mzima kila siku, HATUMPENDI na kiboko yake inakuanga kumchinja pia bila rehema ya kuangalia ukarimu wake.
Soma bibilia ama quran "An eye for an eye".
Shenzi Albert Einstein
 
Unaweza, kuitenganisha Truth na Knowledge ?

Ni kitu kimoja hicho.
Hio hapo..
Screenshot_20200412-133428.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom