Kwanini Albert Einstein Alikuwa Genius?

Mkuu A Level ulisoma nje ya Nchi? Physics ni hii hii tulosoma sisi?
Maswali ya kitoto ni maswali yote ambayo hayaja jengeka katika kuutafuta Ukweli. Maswali ya kikubwa ni kinyume chake.

Elimu ya Quantum Physics nilianza kuisoma kama Intro nikiwa "A 'Level" ,kisha sikuisoma tena katika Elimu za kimataala, sababu mimi naishi humo nikawa nasoma makala na vitabu vinavyokosoa elimu hiyo. Na hii pia ni njia ya kuutafuta ukweli.

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unajichanganya sana, hakuna theory inaweza kupinga ingine? Wala hakuna theory inaweza kusapoti ingine?.. aisee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijichanganyi hata kidogo, kama unabisha weka theory unazo zijua kisha uonyesha ipi inaipinga ipi na ipi inatoa ithibati juu ya ipi, kisha uone ninachokisema nimeota au namaanisha.
 
Hio tafsiri yako ya maswali ya kitoto ni mtazamo wako tu au mtazamo General?
Maswali ya kitoto ni maswali yote ambayo hayaja jengeka katika kuutafuta Ukweli. Maswali ya kikubwa ni kinyume chake.

Elimu ya Quantum Physics nilianza kuisoma kama Intro nikiwa "A 'Level" ,kisha sikuisoma tena katika Elimu za kimataala, sababu mimi naishi humo nikawa nasoma makala na vitabu vinavyokosoa elimu hiyo. Na hii pia ni njia ya kuutafuta ukweli.

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia Theory ya Ptolemy kuhusu Solar system na ya Johanes Kepler uone ukosoaji..

Angalia Theory ya Newton kuhusu calculation ya Mass of Sun na ya Einstein uone jinsi theory inasupport theory.
Sijichanganyi hata kidogo, kama unabisha weka theory unazo zijua kisha uonyesha ipi inaipinga ipi na ipi inatoa ithibati juu ya ipi, kisha uone ninachokisema nimeota au namaanisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia Theory ya Ptolemy kuhusu Solar system na ya Johanes Kepler uone ukosoaji..

Angalia Theory ya Newton kuhusu calculation ya Mass of Sun na ya Einstein uone jinsi theory inasupport theory.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wao wanapingana wenyewe kwa wenyewe ila hakuna mkweli kati ya wawili hao, marejeo yetu ni katika ukweli ndio maana nikasema hakuna theory inayoweza, kuifanya theory kuwa kweli na kinyume chake.

Theory ya Newton's law of universal gravitation inaonyesha uhusiano kati ya mass (tungamo) za two bodies katika umbali fulani, lakini huyu alipingwa na wale wa theory ya Cancellation,Einstein amekuja kuongelea kuongelea mambo expansion, ndio wakaenda mpaka katika redshift.
 
Huyu jamaa ni hatari sana wengine wanasema Newton mkali zaidi na wengine tesla
Lakini Einstein anawazidi mbali namkubali Newton lakini equation zake ni ndogo ndogo mbele ya Einstein na Tesla yupo practical sana
Kiufupi huyu ndio the greatest scientists of all time
 
Hi Guys!

Wengi tunamfahamu Albert Einstein kwamba alikuwa scientist na hakuishia kuwa scientist tu pia alikuwa ni genius na smart sana. Alifanya mambo makubwa katika field yake na aligundua formula ambazo zimekuwa msaada sana katika sayansi. Mfano ile formula ya E=mc² mpaka leo hakuna derivation yake lakini inatumika na ni msaada sana kwenye tasinia ya sayansi, Einstein hakutoa derivation ya hiyo formula hivyo inatumika kibishi hivyohivyo na inaleta matokeo.

Mnamo April 17, 1955; Albert Einstein alipata tatizo la kuvuja damu ndani kwa ndani linalosababishwa na rapture kwenye ateri yake. Madaktari walipouchunguza mwili wake walisema upasuaji pekee(surgery) ndio unaoweza kuokoa maisha yake.

Lakini Albert Einstein alikataa kufanyiwa upasuaji. Einstein alisema " It is tasteless to prolong life artificially, i have done my share it's time to go". Akiwa na maana kwamba haina maana kulazimisha maisha, wakati wake umefika wa kuondoka.

Kabla ya Einstein kufariki alisisitiza wasifanye uchuguzi wowote kwenye mwili wake. Einstein aliogopa wasije wakamchunguza wakauchukua ubongo wake.

Kesho yake Einstein alifariki hospitalini, ilikuwa ni tarehe 18, April 1955. Thomas Harvey, a pathologyst alipewa kuuangalia mwili wa Einstein.

Lakini Harvey aliuiba ubongo wa Einstein kwa siri na kutoweka nao. Harvey aliufanyia uchunguzi kwa muda wa miaka 40 mizima na baadae aliamua kufichua siri kwamba yeye ndiye aliyeuiba na aliwakabidhi wanasayansi ubongo huo.

Wanasayansi walipouchunguza ubongo wa Einstein walishtushwa na ubongo wake ulivyo. Ubongo wa Einstein ulikuwa na 17% more neurons, ukilinganisha na mtu wa kawaida, na hii imesababisha synapses kuwa fired kwenye ubongo wa Einstein, hii ilikuwa inaupa ubongo wake nguvu zaidi.

Wanasayansi walipouchunguza zaidi ubongo wa Einstein waligundua ubongo wake ulimiss wrinkle inayoitwa Parietal Operculum. Hii ilisababisha ukubwa wa Parietal Lobe uongezeke kwa 20% ukilinganisha na mtu wa kawaida. Hili eneo linahusika na Math skills na Mental images. Hii ilimwongezea uwezo wa kufikiri.

Historia ya Albert Einstein ni ndefu na alifanya mambo mengi makubwa na ya kushangaza. Leo tumeangalia tu sababu ambazo huenda zilimfanya Albert Einstein awe genius na smart.

View attachment:


Sent using Jamii Forums mobile app
SIO GENIUS TU, NIKWAMBA PIA ALIKUWA SHOGA
 
Newton alikuwa anaunganyisha facts kupata formula, kwa hiyo mwana mahesabu yeyote mkubwa mwenye bidii anaweza kufanya hayo lakin Einstein alitumia zaidi imagination which we all know it has no limit.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii formula kaka inaleta matokeo katika nini na ushawahi kuyaona matokeo yake ?. Ukitupa mfano itakuwa poa sana.
Wakati mashabiki wa Newton et el wanawaza kutatua matatizo ya leo, formula za Einstein zina majibu ya maswali ya miaka million ijayo. Kuna siku binadamu atatumia hiyo formula kwenda adromeda galaxy kufanya biashara na kurudi siku hiyo hiyo. That's what we call ' imagination has no limit'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mashabiki wa Newton et el wanawaza kutatua matatizo ya leo, formula za Einstein zina majibu ya maswali ya miaka million ijayo. Kuna siku binadamu atatumia hiyo formula kwenda adromeda galaxy kufanya biashara na kurudi siku hiyo hiyo. That's what we call ' imagination has no limit'

Sent using Jamii Forums mobile app

Mnapokosea hamuonyeshi hayo matokeo, zaidi ya story za Sayansi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom