OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,126
- 24,062
Huo ubongo ulikaa 40 years bila kuoza?
E=mc²Hii formula ya Einstein ya E = mc² ilimpa Einstein umaarufu kwa sababu ilihusisha speed of light na ukicalculate kama una mass ukazidisha na square of speed of light unapata Energy inayotakiwa. Hapo ndipo watu walipochanganyikiwa walijiuliza alifanya maarifa gani mpaka akagundua ukisquare speed of light ukazidisha na mass unapata Energy hivyo Einstein akapata umaarufu na alionekana Creative Genius wa kipekee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Balaa hawa watuGalilee Galileo
Isaac Newton
Leonardo da Vinci
Albert Einstein
Nicola Tesla
Hawa ndo watu nawaheshimu mno